Nyerere alifanya jambo moja tu zuri ktk taifa hili, nalo ni kuondoa ukabila na ukanda, hivyo kuwafanya watanzania kuwa wamoja. Lakini mengine yote alikosea.
Hivyo kuendelea kumuenzi mwalimu Nyerere ni sawa na kusema tuendelee kuyakumbatia mabaya yake yote. Ambayo ni:-
1. Muungano.
Lengo lilikuwa zuri lakini aina ya muungano ndiyo tatizo. Huu muungano wetu umejaa utata mtupu. Haueleweki, hauelezeki na hautekelezeki lakini tumeukumbatia tu ili kumuenzi mwalimu.
2. Katiba yetu.
Katiba yetu ya Sasa iliundwa enzi za Nyerere 1977. Ktk katiba hii Nyerere alijitwika mamlaka na madaraka yote ya nchi. Kwa katiba hii rais yuko juu ya katiba. Sasa tukiendelea kumuenzi Nyerere maana yake tuendelee na hii katiba. Kwasabb tukiibalisha hata muungano utabadilka.
3. Mwenge.
Hiki kitu hakuna mwenye majibu ya nia, malengo, na umuhimu wake. Lakini kila mwaka mabilioni ya shilingi yanateketezwa ili kuuzungusha nchi nzima. Tunamuenzi Nyerere.
4. Ujamaa.
Wajuvi wanasema watanzania hawajitumi na hawana uthubutu ktk utafutaji kwasabb ya haka kaugonjwa ka ujamaa. Watu wengi wamebweteka kwasabb wanajua watasaidiwa na majirani , ndugu na jamaa. Mifano:-
*Huandai fedha ya harusi/sendoff kwasababu unajua utachangiwa.
*Huandai fedha ya jeneza na mahala pa kuzikiwa kwasbb unajua utachangiwa.
*Watu wengi wamejiunga na vikundi vya kijamii (vikoba, kwaya, jumuiya, soka legends, makanisa, jogging, misikiti, n.k) vinavyowapotezea muda
mwingi ili tu wakipatwa na shida wasaidiwe na vikundi hivyo.
My take: Hii siku ifutwe. Kumbukumbu za Nyerere ziwekwe makumbusho ya taifa huko. Ili tuweze kutekeleza fikra mbadala.
Hivyo kuendelea kumuenzi mwalimu Nyerere ni sawa na kusema tuendelee kuyakumbatia mabaya yake yote. Ambayo ni:-
1. Muungano.
Lengo lilikuwa zuri lakini aina ya muungano ndiyo tatizo. Huu muungano wetu umejaa utata mtupu. Haueleweki, hauelezeki na hautekelezeki lakini tumeukumbatia tu ili kumuenzi mwalimu.
2. Katiba yetu.
Katiba yetu ya Sasa iliundwa enzi za Nyerere 1977. Ktk katiba hii Nyerere alijitwika mamlaka na madaraka yote ya nchi. Kwa katiba hii rais yuko juu ya katiba. Sasa tukiendelea kumuenzi Nyerere maana yake tuendelee na hii katiba. Kwasabb tukiibalisha hata muungano utabadilka.
3. Mwenge.
Hiki kitu hakuna mwenye majibu ya nia, malengo, na umuhimu wake. Lakini kila mwaka mabilioni ya shilingi yanateketezwa ili kuuzungusha nchi nzima. Tunamuenzi Nyerere.
4. Ujamaa.
Wajuvi wanasema watanzania hawajitumi na hawana uthubutu ktk utafutaji kwasabb ya haka kaugonjwa ka ujamaa. Watu wengi wamebweteka kwasabb wanajua watasaidiwa na majirani , ndugu na jamaa. Mifano:-
*Huandai fedha ya harusi/sendoff kwasababu unajua utachangiwa.
*Huandai fedha ya jeneza na mahala pa kuzikiwa kwasbb unajua utachangiwa.
*Watu wengi wamejiunga na vikundi vya kijamii (vikoba, kwaya, jumuiya, soka legends, makanisa, jogging, misikiti, n.k) vinavyowapotezea muda
mwingi ili tu wakipatwa na shida wasaidiwe na vikundi hivyo.
My take: Hii siku ifutwe. Kumbukumbu za Nyerere ziwekwe makumbusho ya taifa huko. Ili tuweze kutekeleza fikra mbadala.