Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Wabunge wa CHADEMA leo wameanza kuwasili katika ofisi za TAKUKURU jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa. Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) amekuwa wa kwanza kufika.
TAKUKURU ilisema itawahoji wabunge 69 wa chama hicho kufuatia malalamiko juu ya matumizi ya fedha za makato katika mishahara.
Pia soma > TAKUKURU kuwahoji Wabunge 69 kuhusu matumizi ya pesa za CHADEMA
TAKUKURU ilisema itawahoji wabunge 69 wa chama hicho kufuatia malalamiko juu ya matumizi ya fedha za makato katika mishahara.
Pia soma > TAKUKURU kuwahoji Wabunge 69 kuhusu matumizi ya pesa za CHADEMA