ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Hata wangeanzia wapi, bado watafika mwisho na UKWELI utakuja saidia kuwaweka hata nyie washangiliajinjozi kuwa huru kabisa. AmenTakukuru wana akili sana bwashee wameanza na mropokaji!
Hata wangeanzia wapi, bado watafika mwisho na UKWELI utakuja saidia kuwaweka hata nyie washangiliajinjozi kuwa huru kabisa. AmenTakukuru wana akili sana bwashee wameanza na mropokaji!
Na huo ndio UBATIZO imara. AmenIla chadema kila siku wanabatizwa kwa MOTO
Kwa nondo alizoshusha Dr Mashinji kuna watu wataenda jela hapo Ufipa!Hata wangeanzia wapi, bado watafika mwisho na UKWELI utakuja saidia kuwaweka hata nyie washangiliajinjozi kuwa huru kabisa. Amen
TUNASUBIRI.Kwa nondo alizoshusha Dr Mashinji kuna watu wataenda jela hapo Ufipa!
Hii unaandika ni upuuziKati ya Taasisi ambazo zitafanyiwa reformation kubwa au kuvunjwa kabisa na kuundwa upya baada ya CCM kutoka Mahakamani hapo October namba
1. TISS
2. Takukuru
3. Polisi
4. Magereza
Naona JWTZ ndo taasisi pekee itakayoepuka mkono huu maana ndo taasisi pekee iliyofanikiwa kujitenga na siasa uchwara za CCM
Ccm hoyeee!!View attachment 1474999
Hapa sjaona mantiki kuhoji wabunge! Wao wangemfungulia tu Mbowe mashitaka wanayozani kuwa anayo na si kuhaada umma kuwa wamehoji watu ndipo wakafungua kesi! Haiwezekani ukaamua kumtafutia kesi mwanaume kwa kumuhoji mwanamke aliyegombana nae na kupeana talaka, ukasema utamtendea haki mtuhumiwa! Wanaposema watahoji wabunge wote waliowahi kuwa wabunge wa CDM, hapa sipati picha kama kweli wana nia njema au nia kuhakikisha Mbowe hachomoki! Kama ufisadi CCM ni nambari wani! Ndio maana wapo watu ndani ya CCM hawakubaliani na mwenendo chama kama vile utaratibu wa kumzawadia cheo au jimbo mbunge alitoka upinzani, lakini wanashindwa kutoka ndani ya hicho chama cozi wakitoka tu visasi ni kuwashughulikia kwa madhambi ya ufisadi waliyonayo! Hata ile kamati ya Dk Bashiru ilibaini ufisadi mkubwa wa mali za CCM kalibu nchi nzima lakini hatua hazijawahichuliwa na hatujawahi kuwaona TAKUKURU wakiita watu kuhojiwa! Kama kweli suala hili si la kisiasa basi vyama vyote vimulikwe!
Nyongo ipi wao wanajua walikatwa fedha za mchango kama katiba invyosema lakini hawajui matumizi ya fedha hizo anaejua ni muhasibu ndio anatakiwa kukaguliwa
Wamesamehewa leo na mh rais
Amakweli ccm ni nambari waniHujasikia msamaha aliotangaziwa yule Mkuu wa zimamoto ujue ndio imeisha hiyo
Wangeanza na ile 1.5 Trillion ningewaelewa….
Historia inaibeba JWTZ. Baada ya kumkosakosa Baba Makongoro mwaka 1964 lilibadirishwa kabisa kimuundo na kimafunzo ili kujikita zaidi kitaifa kuliko maslahi ya Chama.Mkuu labda niulize; hawa JWTZ licha ya kumilikiwa na CCM wamewezaje kujinasua na makucha yao?
😁😁😁😂😀😁Historia inaibeba JWTZ. Baada ya kumkosakosa Baba Makongoro mwaka 1964 lilibadirishwa kabisa kimuundo na kimafunzo ili kujikita zaidi kitaifa kuliko maslahi ya Chama.
Polisi, TISS na Magereza yapo vilevile kama yalivyorithiwa toka kwa mkoloni. Wapo kimaslahi kwa aliye madarakani.
tulia dawa ikuingie acha kupapasa matako,Hapa sjaona mantiki kuhoji wabunge! Wao wangemfungulia tu Mbowe mashitaka wanayozani kuwa anayo na si kuhaada umma kuwa wamehoji watu ndipo wakafungua kesi! Haiwezekani ukaamua kumtafutia kesi mwanaume kwa kumuhoji mwanamke aliyegombana nae na kupeana talaka, ukasema utamtendea haki mtuhumiwa! Wanaposema watahoji wabunge wote waliowahi kuwa wabunge wa CDM, hapa sipati picha kama kweli wana nia njema au nia kuhakikisha Mbowe hachomoki! Kama ufisadi CCM ni nambari wani! Ndio maana wapo watu ndani ya CCM hawakubaliani na mwenendo chama kama vile utaratibu wa kumzawadia cheo au jimbo mbunge alitoka upinzani, lakini wanashindwa kutoka ndani ya hicho chama cozi wakitoka tu visasi ni kuwashughulikia kwa madhambi ya ufisadi waliyonayo! Hata ile kamati ya Dk Bashiru ilibaini ufisadi mkubwa wa mali za CCM kalibu nchi nzima lakini hatua hazijawahichuliwa na hatujawahi kuwaona TAKUKURU wakiita watu kuhojiwa! Kama kweli suala hili si la kisiasa basi vyama vyote vimulikwe!
swali la msingi ni je? ww unaweza kuishi na mke alaf awe ana hudumia watu wa nje huduma kama unazopewa wewe?? ukishajijibu ndo utajua kwann ukiwa mpinzan utaona kila chombo kinafanya kaz kwa maslah ya silikaleHistoria inaibeba JWTZ. Baada ya kumkosakosa Baba Makongoro mwaka 1964 lilibadirishwa kabisa kimuundo na kimafunzo ili kujikita zaidi kitaifa kuliko maslahi ya Chama.
Polisi, TISS na Magereza yapo vilevile kama yalivyorithiwa toka kwa mkoloni. Wapo kimaslahi kwa aliye madarakani.
heheheh