Tuhuma za matumizi mabaya ya fedha: Wabunge wa CHADEMA waanza kuhojiwa TAKUKURU

Kati ya Taasisi ambazo zitafanyiwa reformation kubwa au kuvunjwa kabisa na kuundwa upya baada ya CCM kutoka Mahakamani hapo October namba
1. TISS
2. Takukuru
3. Polisi
4. Magereza

Naona JWTZ ndo taasisi pekee itakayoepuka mkono huu maana ndo taasisi pekee iliyofanikiwa kujitenga na siasa uchwara za CCM
Hii unaandika ni upuuzi
 
Na leo hii yule bosi wa fire waliye msimamisha kwa machachali kwa ubadhilifu kasamehewa na kuahidiwa kupewa kazi nyingine
Hapa sjaona mantiki kuhoji wabunge! Wao wangemfungulia tu Mbowe mashitaka wanayozani kuwa anayo na si kuhaada umma kuwa wamehoji watu ndipo wakafungua kesi! Haiwezekani ukaamua kumtafutia kesi mwanaume kwa kumuhoji mwanamke aliyegombana nae na kupeana talaka, ukasema utamtendea haki mtuhumiwa! Wanaposema watahoji wabunge wote waliowahi kuwa wabunge wa CDM, hapa sipati picha kama kweli wana nia njema au nia kuhakikisha Mbowe hachomoki! Kama ufisadi CCM ni nambari wani! Ndio maana wapo watu ndani ya CCM hawakubaliani na mwenendo chama kama vile utaratibu wa kumzawadia cheo au jimbo mbunge alitoka upinzani, lakini wanashindwa kutoka ndani ya hicho chama cozi wakitoka tu visasi ni kuwashughulikia kwa madhambi ya ufisadi waliyonayo! Hata ile kamati ya Dk Bashiru ilibaini ufisadi mkubwa wa mali za CCM kalibu nchi nzima lakini hatua hazijawahichuliwa na hatujawahi kuwaona TAKUKURU wakiita watu kuhojiwa! Kama kweli suala hili si la kisiasa basi vyama vyote vimulikwe!
 
Mkuu labda niulize; hawa JWTZ licha ya kumilikiwa na CCM wamewezaje kujinasua na makucha yao?
Historia inaibeba JWTZ. Baada ya kumkosakosa Baba Makongoro mwaka 1964 lilibadirishwa kabisa kimuundo na kimafunzo ili kujikita zaidi kitaifa kuliko maslahi ya Chama.

Polisi, TISS na Magereza yapo vilevile kama yalivyorithiwa toka kwa mkoloni. Wapo kimaslahi kwa aliye madarakani.
 
Historia inaibeba JWTZ. Baada ya kumkosakosa Baba Makongoro mwaka 1964 lilibadirishwa kabisa kimuundo na kimafunzo ili kujikita zaidi kitaifa kuliko maslahi ya Chama.

Polisi, TISS na Magereza yapo vilevile kama yalivyorithiwa toka kwa mkoloni. Wapo kimaslahi kwa aliye madarakani.
😁😁😁😂😀😁

Nimekubali.

Lkn mbona 2001 Zenji inasemekana tofauti?
 
Wachaga kila kwenye upigaji wapi.

Na Mbowe akipona jeraha la kuanguka kwenye ulevi ataitwa Takukuru??
 
Hapa sjaona mantiki kuhoji wabunge! Wao wangemfungulia tu Mbowe mashitaka wanayozani kuwa anayo na si kuhaada umma kuwa wamehoji watu ndipo wakafungua kesi! Haiwezekani ukaamua kumtafutia kesi mwanaume kwa kumuhoji mwanamke aliyegombana nae na kupeana talaka, ukasema utamtendea haki mtuhumiwa! Wanaposema watahoji wabunge wote waliowahi kuwa wabunge wa CDM, hapa sipati picha kama kweli wana nia njema au nia kuhakikisha Mbowe hachomoki! Kama ufisadi CCM ni nambari wani! Ndio maana wapo watu ndani ya CCM hawakubaliani na mwenendo chama kama vile utaratibu wa kumzawadia cheo au jimbo mbunge alitoka upinzani, lakini wanashindwa kutoka ndani ya hicho chama cozi wakitoka tu visasi ni kuwashughulikia kwa madhambi ya ufisadi waliyonayo! Hata ile kamati ya Dk Bashiru ilibaini ufisadi mkubwa wa mali za CCM kalibu nchi nzima lakini hatua hazijawahichuliwa na hatujawahi kuwaona TAKUKURU wakiita watu kuhojiwa! Kama kweli suala hili si la kisiasa basi vyama vyote vimulikwe!
tulia dawa ikuingie acha kupapasa matako,
 
Historia inaibeba JWTZ. Baada ya kumkosakosa Baba Makongoro mwaka 1964 lilibadirishwa kabisa kimuundo na kimafunzo ili kujikita zaidi kitaifa kuliko maslahi ya Chama.

Polisi, TISS na Magereza yapo vilevile kama yalivyorithiwa toka kwa mkoloni. Wapo kimaslahi kwa aliye madarakani.
swali la msingi ni je? ww unaweza kuishi na mke alaf awe ana hudumia watu wa nje huduma kama unazopewa wewe?? ukishajijibu ndo utajua kwann ukiwa mpinzan utaona kila chombo kinafanya kaz kwa maslah ya silikale
 
Faida za TAKUKURU ni zipi? Ikiwa tangu iwepo Rushwa na ufisadi haijawahi kupungua? Pili hawa TAKUKURU walishasema aliyekuwa waziri wa mambo yandani kabla ya Simbachawene ana kesi ya uhujumu uchumi walishampeleka mahakamani?.Hapa kuna harufu ya siasa tena kubwa sio ndogo.
Siku tukiacha siasa kwa kila jambo tutafanikiwa tena sana.Siasa ni muhimu kwa maisha yetu lkn tusiingize siasa na sehemu zisizo hitaji siasa.
 
Back
Top Bottom