Tuhuma za matumizi mabaya ya fedha: Wabunge wa CHADEMA waanza kuhojiwa TAKUKURU

Duh.... Mbowe ndio wanammaliza hivyo...... Sugu na mchungaji Msigwa siyo watu wa kuwaamini kabisa!
Ccm hoyeee!!
tapatalk_1591524345752.jpeg
 
Hapa sjaona mantiki kuhoji wabunge! Wao wangemfungulia tu Mbowe mashitaka wanayozani kuwa anayo na si kuhaada umma kuwa wamehoji watu ndipo wakafungua kesi! Haiwezekani ukaamua kumtafutia kesi mwanaume kwa kumuhoji mwanamke aliyegombana nae na kupeana talaka, ukasema utamtendea haki mtuhumiwa! Wanaposema watahoji wabunge wote waliowahi kuwa wabunge wa CDM, hapa sipati picha kama kweli wana nia njema au nia kuhakikisha Mbowe hachomoki! Kama ufisadi CCM ni nambari wani! Ndio maana wapo watu ndani ya CCM hawakubaliani na mwenendo chama kama vile utaratibu wa kumzawadia cheo au jimbo mbunge alitoka upinzani, lakini wanashindwa kutoka ndani ya hicho chama cozi wakitoka tu visasi ni kuwashughulikia kwa madhambi ya ufisadi waliyonayo! Hata ile kamati ya Dk Bashiru ilibaini ufisadi mkubwa wa mali za CCM kalibu nchi nzima lakini hatua hazijawahichuliwa na hatujawahi kuwaona TAKUKURU wakiita watu kuhojiwa! Kama kweli suala hili si la kisiasa basi vyama vyote vimulikwe!
 
Naam, wanahojiwa tu ingawa bado sijaelemewa kwanini wanahojiwa na chombo cha makosa ya rushwa wakati tuhuma ni matumizi mabaya ya fedha! Lakini pia tukumbuke kuwa kuna wakati zilitolewa tuhuma bungeni kuwa baadhi ya wabunge wetu wamepewa rushwa ya sh. 10m/= kila mmoja kipindi cha kuelekea kujadiliwa miswada ya sheria iliyokuwa na utata mkubwa. Kiti cha Spika kulizuia tuhuma hizi zisijibiwe bungeni. Baada ya muda Rais Magufuli alipokutana na vyombo vya habari kwa mara kwanza aliulizwa swali kuhusu tuhuma hizi hizi. Rais alijibu kuwa atakabidhi TAKUKURU. Hakuna mrejesho wowote uliotolewa kwa umma kuhusu tuhuma hizi nzito mno.
hiyo ya M10 niliisikiaga Bungen
 
Safi Sana . wabunge lazima watatema nyongo
Takukuru wanadili na rushwa na fedha za uma Sasa fedha za chadema ni zao hivyo kesi iende mahakamani Tena ifunguliwe na wanachadema sio waliohama nahisi harufu mbaya hapa vyama vingine hakuna ufisadi
 
Back
Top Bottom