Tuhuma za Kabendera dhidi ya Magufuli na ukimya wa Kikwete. Je, tuamini ni kweli?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,018
144,377
Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.

Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.

Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?

Je, ndio anamanisha silence means yes?

Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.

Tusubiri.
 
Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.

Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.

Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?

Je, ndio anamanisha silence means yes?

Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.

Tusubiri.
Tunatarajia Mfanyabiashara huyo atajitokeza hadharani kuthibitisha madai ya Kabendera
 
Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.

Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.

Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?

Je, ndio anamanisha silence means yes?

Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.

Tusubiri.
Kikwete aje kujibu nini..? Vyombo vya ulinzi vichunguze kupata ukweli hizo ni tuhuma kubwa kwa maana kama alikua hajui ndipo na yeye anapata mshangao sasa hivi. Yote yana wezekana kuwa kweli au isiwe kweli. Wenye mamlaka wafanye uchunguzi yakinifu
 
Nawahurumia sana wamsingiziao mtu wa Mungu aliyeletwa na Mungu kuitawala Tanzania kwa kusudi maalum, lilipokamilisha, Mungu akamuita kwake ili kumpangia majukumu mengine, na hivi tunavyozunguza ni siku nyingi yuko kwa Baba Yake!!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Mmmh!
JamiiForums1161876965.jpg
JamiiForums-678983274.gif
 
Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.

Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.

Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?

Je, ndio anamanisha silence means yes?

Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.

Tusubiri.
Mwendazake hata Shetani bado amemuweka pending kule jehanam. Kila akiangalia CV yake anamuogopa kuwa anaweza kumgeuzia kibao hata yeye mwenyewe.

Shetani anaogopa kuuliwa na Magufuli
 
Nawahurumia sana wamsingiziao mtu wa Mungu aliyeletwa na Mungu kuitawala Tanzania kwa kusudi maalum, lilipokamilisha, Mungu akamuita kwake ili kumpangia majukumu mengine, na hivi tunavyozunguza ni siku nyingi yuko kwa Baba Yake!!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Unasema hivyo kwa kuwa inadaiwa kuwa eti wewe ndiyo ulimchomea Erick Kabendera kwa Mwendazake. Naanaza kukubaliana na tuhuma hii
 
Back
Top Bottom