Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,018
- 144,377
Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.
Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.
Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?
Je, ndio anamanisha silence means yes?
Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.
Tusubiri.
Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.
Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?
Je, ndio anamanisha silence means yes?
Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.
Tusubiri.