Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Hamas wasema Ijumaa hii wataitisha maandamano ya nchi za kiarabu kulaani mashambulizi anayofanya Israel huko Gaza tokea jumapili.
Waziri Netanyahu wa Israel alisikika akisema Israel inatarajia kupiga mashambulizi ya kutosha katika Mji wa Gaza yatakayofanya Wapalestina wasiyasahu kwa zaidi ya miaka 50
Kwa upande mwingine Israel inaonesha kujitosa kwa nguvu zote kuishambulia Palestina huku Marekani nayo ikiahidi kutoa msaada wa kijeshi
Waziri Netanyahu wa Israel alisikika akisema Israel inatarajia kupiga mashambulizi ya kutosha katika Mji wa Gaza yatakayofanya Wapalestina wasiyasahu kwa zaidi ya miaka 50
Kwa upande mwingine Israel inaonesha kujitosa kwa nguvu zote kuishambulia Palestina huku Marekani nayo ikiahidi kutoa msaada wa kijeshi