Tuaganeni rasmi sasa, najiweka kando na JF

Tuaganeni rasmi sasa, najiweka kando na JF

Kujipa tu umaarufu usio na faida we nani kwani Una mchango gani umegundua nini projects zako ziko wapi km hatuzijui pia hatuna haja ya kukujua zaidi hata ukitaka kufa kufa tu..NI MARUFUKU KUKATA TAMAA
 
Kujipa tu umaarufu usio na faida we nani kwani Una mchango gani umegundua nini projects zako ziko wapi km hatuzijui pia hatuna haja ya kukujua zaidi hata ukitaka kufa kufa tu..NI MARUFUKU KUKATA TAMAA
Mkuu Usichukulie personal sana, this is a fairwell zone
 
Kuaga ni kitu cheka maana unakuwa umeacha kuliko toka salama na bila shari..

Lakini pia kuipa appreciation platform kwa vitu ulivyo gain kwa muda uliokuwepo
Lakini,awali kwenye uzi wako fulani ulieleza na kudai hakuna unacho-gain humu JF! Remember?Mimi nakutakia maago mema na insha'Allah,uende uendelee na mambo mengine.Aaaamiiin!
 
Lakini,awali kwenye uzi wako fulani ulieleza na kudai hakuna unacho-gain humu JF! Remember?Mimi nakutakia maago mema na insha'Allah,uende uendelee na mambo mengine.Aaaamiiin!
Niliyasema yale just kuzua taharuki wala sikuwa serious hata kidogo..
Humu nimegrow sana as a person, sikuwa hivi kipindi naingia 2021,nimejofunza mengi just by interacting na members humu.

Amon, amin.. Mkuu🙏
 
Back
Top Bottom