Tuaganeni rasmi sasa, najiweka kando na JF

Tuaganeni rasmi sasa, najiweka kando na JF

Unaaga kila siku huondoki unataka nauli?

My brother used to tell me this when i was young, nilikuwa nikitaka kuondoka namwambia kama naondoka hata mara 10, na ye hanipi nauli hadi nimwambie kaka naondoka naomba nauli 😅😅😅😅

Jokes aside, i feel like hunaga mtu wa kuongea nae nje ya JF, so JF for you it’s a platform to speak about yourself, (Jukwaa la kusikilizwa) Evidently: ni nyuzi chache sana ambazo haujajiongelea wewe, it’s always about you.

How are you going to manage this?

Makazini kuna wale viongozi wanapenda vikao, huwa kichinichini tunawatania kuwa majumbani kwao hakuna watu wa kuwasikiliza ndio maana wakija kazini lazima watukalishe chini tuwasikilize.
 
Unaaga kila siku huondoki unataka nauli?

My brother used to tell me this when i was young, nilikuwa nikitaka kuondoka namwambia kama naondoka hata mara 10, na ye hanipi nauli hadi nimwambie kaka naondoka naomba nauli 😅😅😅😅

Jokes aside, i feel like hunaga mtu wa kuongea nae nje ya JF, so JF for you it’s a platform to speak about yourself, (Jukwaa la kusikilizwa) Evidently: ni nyuzi chache sana ambazo haujajiongelea wewe, it’s always about you.

How are you going to manage this?

Makazini kuna wale viongozi wanapenda vikao, huwa kichinichini tunawatania kuwa majumbani kwao hakuna watu wa kuwasikiliza ndio maana wakija kazini lazima watukalishe chini tuwasikilize.
Umeandika paragraph nyingi sana kunidadisi.. Ila Nikuambie tu kuwa mimi napenda kujiwekea wazi, sipendi kuficha mambo.

Hii hulka ya kuongea vitu huwa ninayo hata nje ya jf, napenda sifa intrinsically.

Ila kwa hii post niko serious. Sidanganyi na ningependa kuwaaga rasmi, especially you tumejadili lots of stuff, Nimetoa kitu toka kwako pia..

Y'all think am playing, ila baada ya huu uzi by today afternoon Nita delete apps zote na history kwenye browser ni save paaswors Sehem nzuri kwa ajili ya occasional visits, ila sitegemei kubandika chapisho la aina yoyote...

Mfano wa huyo boss hauja fit kabisa kwangu maana mm in person huwa sina time na kutaka kusilizwa. Mtu anisikie asinisikie ni juu yake.
 
Umeandika paragraph nyingi sana kunidadisi.. Ila Nikuambie tu kuwa mimi napenda kujiwekea wazi, sipendi kuficha mambo.

Hii hulka ya kuongea vitu huwa ninayo hata nje ya jf, napenda sifa intrinsically.

Ila kwa hii post niko serious. Sidanganyi na ningependa kuwaaga rasmi, especially you tumejadili lots of stuff, Nimetoa kitu toka kwako pia..

Y'all think am playing, ila baada ya huu uzi by today afternoon Nita delete apps zote na history kwenye browser ni tave paaswors Sehem nzuri kwa ajili ya occasional visits, ila sitegemei kubandika chapisho la aina yoyote...

Mfano wa huyo boss hauja fit kabisa kwangu maana mm in person huwa sina time na kutaka kusilizwa. Mtu anisikie asinisikie ni huu yake.
Farewell Gunner wa Ephen, Binafsi nitakumiss.
 
Nawakumbusha woote, ambao mnadhani natania, kuwa this is serious. Kama nilikukwaza, kama kuna kitu unataka kuniambia I'll open till leo saa 6 mchana, baada ya hapo I'll be gone for good. Mpka majaaliwa tena
 
Back
Top Bottom