Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,088
- 8,221
Wala siyo hujuma ni serikali yenywewe
1. Shirika linapata ruzuku
2. Mishahara iko pale pale tena wanapewa na posho.
Km muajiriwa mkuu haoni umuhimu wa shirika, je hao wafanyakazi watakuwa na uchungu na shirika?
Mm nimeajiriwa, nitoe pesa yangu kugharamia shirika? Hapana
3. Serikali (wazee). Serikali ni watu, hao watu ndiyo walee wazee wa kizamani na ndiyo wamejazana hapo.
Utamkuta mzee anakuambia, kijana wangu nimetumiwa meseji hapa naomba uniangalizie au anakupa simu anakuambia ni
mpigie John Mwaulanya.
Ndiyo manager mkuu pale unafikiri nini kinatokea?
Wazee wanajua internet vijana wanaingia kuangalia umbeya, porno na mambo mabaya ndiyo maana hawaoni umuhimu wa PAYPAL, wanawaza utakatishaji fedha na kazi ni kulima, ujenzi n.k
Kumbe unaweza kutengeneza hela nyingi mtandaoni
1. Shirika linapata ruzuku
2. Mishahara iko pale pale tena wanapewa na posho.
Km muajiriwa mkuu haoni umuhimu wa shirika, je hao wafanyakazi watakuwa na uchungu na shirika?
Mm nimeajiriwa, nitoe pesa yangu kugharamia shirika? Hapana
3. Serikali (wazee). Serikali ni watu, hao watu ndiyo walee wazee wa kizamani na ndiyo wamejazana hapo.
Utamkuta mzee anakuambia, kijana wangu nimetumiwa meseji hapa naomba uniangalizie au anakupa simu anakuambia ni
mpigie John Mwaulanya.
Ndiyo manager mkuu pale unafikiri nini kinatokea?
Wazee wanajua internet vijana wanaingia kuangalia umbeya, porno na mambo mabaya ndiyo maana hawaoni umuhimu wa PAYPAL, wanawaza utakatishaji fedha na kazi ni kulima, ujenzi n.k
Kumbe unaweza kutengeneza hela nyingi mtandaoni
Hata vijana wachache waliopo hapo hawalioni tatizo....ila kuna wazee wanajitambua na wanajua dunia inavyokwenda tatizo ni hujuma.