Tuache masihara jamani,leo nimependeza

Tuache masihara jamani,leo nimependeza

Attachments

  • 1398098135236.jpg
    1398098135236.jpg
    27.1 KB · Views: 283
Hivi jaman hata wanaume wanajipaga promo eh?basi sawa! Enjoy..!
 
afu unaishi chumba kimoja gari unapaki CCM.hawa ndo vijana wa bongo daslaam
 
ONGEZA NA BOXER YENYE CHATA YA Sir.ELTON JOHN.

Vest ya Michael scofield.

Mkanda toka kwa Martin Kadinda

Soksi toka kwa RIO PAUL

Na handkerchief toka kwa Ally Remtulah.
 
hivi mama kakuruhusu wewe kweli,halahala usijegonga hiyo gari ya baba utachapwaa

kila kitu nilichonacho ni mali yangu,wazazi walinirithisha elimu tu....hayo yote yanatoka wapi mkuu lakini? sababu nimesema nimependeza!?
 
Hivi jaman hata wanaume wanajipaga promo eh?basi sawa! Enjoy..!

nijipe promo kwani kuna anayenijua umu?? mmezoea kusikia matatizo tu mtu akiongea upande mzuri kuhusu yeye. ni kachokoza vita...alafu tunajiuliza kwa nn waTz hatuendelei..!!
 
Mmmmh! Acha kutudanganya unavyonukia ugolo wa bibi na hizo chachacha zako kwendra huko!!! Weka picha !!
 
Kwenda zako huko. Mwanaume kweli wewe.

Tatizo haswa nini?? mie kusema maisha yangu halisi??...ningeleta bandiko la kulia leo sina hela ya kula ndio mnachopenda kusikia?....karibu coralbch spur menu yao utapenda mwenyewe.
 
Usisahau kujikoki mfukoni make ndo siraha kuu unless hilo shati lako litalowa jasho na machozi watakapo kupokonya huyo demu wako huko muendako!
 
Back
Top Bottom