Tuache masihara jamani,leo nimependeza

Tuache masihara jamani,leo nimependeza

Enjoy bwana when you can as kuna watu wana wish saana wapate hiyo good time kama wewe ila sio size yao kamba yako ndefu. So big up koz unajikubali mwenyewe.
 
ONGEZA NA BOXER YENYE CHATA YA Sir.ELTON JOHN.

Vest ya Michael scofield.

Mkanda toka kwa Martin Kadinda

Soksi toka kwa RIO PAUL

Na handkerchief toka kwa Ally Remtulah.

Mkuu,shemeji yenu kanisifia sana anasema huwa simuangushi inapofika idara ya kupendeza na vitu vizuri kama hivi....kwa kweli ukizaliwa na damu ya kupenda usafi utegemee kuumiza wengi pia.
 
Mmmmh! Acha kutudanganya unavyonukia ugolo wa bibi na hizo chachacha zako kwendra huko!!! Weka picha !!

naona umeamua kumuelezea boyfriend wako jinsi alivyo...ulitamani awe kama mimi...tatzo la waswahili tangia utoto mmezoea kusikia habari mbaya tu kutoka kwa watu habari nzuri kwenu ni mwiko,so sio kosa lako...
 
Usisahau kujikoki mfukoni make ndo siraha kuu unless hilo shati lako litalowa jasho na machozi watakapo kupokonya huyo demu wako huko muendako!

Usihofu mkuu,wallet iko tough...kama umezisoma dress code vizuri utaelewa...
 
ONGEZA NA BOXER YENYE CHATA YA Sir.ELTON JOHN.

Vest ya Michael scofield.

Mkanda toka kwa Martin Kadinda

Soksi toka kwa RIO PAUL

Na handkerchief toka kwa Ally Remtulah.

Hahaahaa na miwani Kali toka kwa George Michael(original)
 
Hahaahaa na miwani Kali toka kwa George Michael(original)

"unamnunia nani na maisha umeyakosea mwenyewe".. mbwiga wa mbwiguke....ujue aya maisha ni marahisi sana jamani kuyajua la sivyo utachukia wattu na haitakuwa suluhisho.
 
Usihofu mkuu,wallet iko tough...kama umezisoma dress code vizuri utaelewa...

Basi mkuu nenda kale ujana! achana na wenye stress. Hapa duniani tunapita so enjoy your life to the fullest!
 
Basi mkuu nenda kale ujana! achana na wenye stress. Hapa duniani tunapita so enjoy your life to the fullest!

Nipo nna enjoy...kuna watu walitaka kuniharibia mood yangu nzuri ndio maana.
 
naona umeamua kumuelezea boyfriend wako jinsi alivyo...ulitamani awe kama mimi...tatzo la waswahili tangia utoto mmezoea kusikia habari mbaya tu kutoka kwa watu habari nzuri kwenu ni mwiko,so sio kosa lako...

ha ha ha! Yani beby wangu avae chachacha mi nipo wap?Ujue maneno bila picha haviendi kabisaaa! Ebu sababisha tuone sasa ulivyotokelezea.....!!
 
duh!!. hivi wanaume wa hivi wapo?!mh na wasiwasi,nashukuru sikuzaliwa muhaya
 
Yule mwenzio anawekaga picture wewe maneno mkuu
Ebu weka picture tukupe credit
 
Back
Top Bottom