Tuache masihara jamani,leo nimependeza

Tuache masihara jamani,leo nimependeza

Action speaks louder than words(original) u know? Kwa vitu ulivyotupia inaonekana mbebiz wako mkare sana ,tupia picha(original) touone ulivyopendeza(original) u know.

#---- ,huna tofauti na mzee wa wabebez#
 
mhhh Cameroon njoo huku kunakijana wako huku anajinadi huku bana
 
... maisha ndio aya aya ukiyakosea mwenyewe usitafute wa kumnunia..
Nimeipenda hii.
Cc. Mr gentleman.
 
ningesema sina nguo ya kuvaa ningekuwa naongea kama mwanaume??....umeshaliona tatizo lako?...
Mimi ndo natatizo au wewe ndo shida..mtoto wa kiume unajichambua kama mwanamke..au una XXY
 
nijipe promo kwani kuna anayenijua umu?? mmezoea kusikia matatizo tu mtu akiongea upande mzuri kuhusu yeye. ni kachokoza vita...alafu tunajiuliza kwa nn waTz hatuendelei..!!

hahaha nimeipenda hii kula bataaaa kaka atleast leo tupumzike sio kila siku mitatizo tu
 
Hahhahah,duh,cjui kwanini ckufungua hii thredi tangu jana nicheke
 
ha ha ha! Yani beby wangu avae chachacha mi nipo wap?Ujue maneno bila picha haviendi kabisaaa! Ebu sababisha tuone sasa ulivyotokelezea.....!!

unataka uhone nini wakati vitu hauvijui...by the way siku ya jana was so mzuka usipime mama..
 
Action speaks louder than words(original) u know? Kwa vitu ulivyotupia inaonekana mbebiz wako mkare sana ,tupia picha(original) touone ulivyopendeza(original) u know.

#---- ,huna tofauti na mzee wa wabebez#

be original buy original...ndio kanuni yetu.
 
Mimi ndo natatizo au wewe ndo shida..mtoto wa kiume unajichambua kama mwanamke..au una XXY

mkuu imagine unakuwa na the most beautiful lady in the world kama mimi hapa now,,,Yani we just try to imagine what it feels alafu umependeza unanukia msafiiiiiiiii yani acha tu...jana kuamkia leo ilikuwa day poa sana ngoja tumalizie malizie kesho tukalijenge taifa mkuu.
 
Wewe ni mpiga kelele tu kama vipi ungeweka picha humu kukata mzizi wa fitina..kuna jamaa mmoja aliendaga kujitambulisha kwa wakwe humu aliweka picha kila kitu nin...sasa wewe kujisifiiiiiaaa tuu mixa haujiamini..etc etc...Over..!!
 
Mi binafsi nimependa sana Mavazi uloyataja ndo mavazi yangu I wish one ntatupia mtoko huo mpaka baasi
 
mhhh Cameroon njoo huku kunakijana wako huku anajinadi huku bana

aya yote ni kwa ajili ya mimi kupendeza tu mkuu?..jilaumu mwenyewe bidada umekosea wapi hasira kuzihamishia kwangu sio dawa ndugu yangu...Pia muombe sana Mungu usikate tamaa.
 
Unatamani baby ndio awe wa kwanza kukusifia,hii thread umefungua ya nini kabla hajakuona akakusifia?
 
Wewe ni mpiga kelele tu kama vipi ungeweka picha humu kukata mzizi wa fitina..kuna jamaa mmoja aliendaga kujitambulisha kwa wakwe humu aliweka picha kila kitu nin...sasa wewe kujisifiiiiiaaa tuu mixa haujiamini..etc etc...Over..!!

wewe lini uliweka picha yako mkuu?...leo tunamalizia kihome home tu hapa kesho siunajua tunajenga taifa...
 
Mi binafsi nimependa sana Mavazi uloyataja ndo mavazi yangu I wish one ntatupia mtoko huo mpaka baasi

Pamoja sana mkuu,kama unaelewa vitu vizuri...wewe utakuwa umezaliwa mjanja mjanja by nature.
 
Unatamani baby ndio awe wa kwanza kukusifia,hii thread umefungua ya nini kabla hajakuona akakusifia?

imagine baby alivyoniona she was like waoooh,,,incredible !!...just imagine yani acha tu my friend raha sana.
 
Back
Top Bottom