Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 3,020
- 4,027
Lengo la kuzuia na kupinga maandamano haikuwa kuonesha ubabe au kumkandamiza mtu
Serikali iendelee kutatua changamoto na matakwa ya vijana hao kwa kadri inavyowezekana
Sisi wengine hakuna kinachotuhusu hivyo ni vyema tukachunga ndimi zetu. Mwenye jukumu la kutekeleza matakwa yao ni serikali pekee
Tunachotakiwa ni kushukuru Mola kwa kuwalainisha mioyo waliokuwa na nia ya kuandamana wakarudisha moyo nyuma wasifanye hivyo
Mpaka sasa huwezi kujua mtu anapanga au anawaza nini moyoni mwake
Tusiache kuwaombea na kuwapa elimu sahihi ya kudai haki pamoja na kushirikiana nao kudai haki hizo
Pia tuendelee kuepuka yale yote ambayo yanaamsha hisia za wananchi hao
Viongozi wa serikali, chama cha Mapinduzi na wadau wanaopinga maandamano ni vyema tukajiepusha na kauli/vitendo vya kuwaona kama watu wale ni wajinga au waoga sana kwa kutokufanya kile walichokuwa wamekusudia kukifanya
Kauli kama hizi na nyinginezo mfanowe hazifai
WAOGA
KIKO WAPI?
SI TULISEMA!
MNGEJARIBU MUONE
Kuna watu humu kila baada ya muda fulani wanaleta mabandiko yenye maudhui hayo. Serikali iwachukulie hatua watu hawa kwani wanachochea maandamano kwa njia ya mlango nyuma
Nawasilisha
Serikali iendelee kutatua changamoto na matakwa ya vijana hao kwa kadri inavyowezekana
Sisi wengine hakuna kinachotuhusu hivyo ni vyema tukachunga ndimi zetu. Mwenye jukumu la kutekeleza matakwa yao ni serikali pekee
Tunachotakiwa ni kushukuru Mola kwa kuwalainisha mioyo waliokuwa na nia ya kuandamana wakarudisha moyo nyuma wasifanye hivyo
Mpaka sasa huwezi kujua mtu anapanga au anawaza nini moyoni mwake
Tusiache kuwaombea na kuwapa elimu sahihi ya kudai haki pamoja na kushirikiana nao kudai haki hizo
Pia tuendelee kuepuka yale yote ambayo yanaamsha hisia za wananchi hao
Viongozi wa serikali, chama cha Mapinduzi na wadau wanaopinga maandamano ni vyema tukajiepusha na kauli/vitendo vya kuwaona kama watu wale ni wajinga au waoga sana kwa kutokufanya kile walichokuwa wamekusudia kukifanya
Kauli kama hizi na nyinginezo mfanowe hazifai
WAOGA
KIKO WAPI?
SI TULISEMA!
MNGEJARIBU MUONE
Kuna watu humu kila baada ya muda fulani wanaleta mabandiko yenye maudhui hayo. Serikali iwachukulie hatua watu hawa kwani wanachochea maandamano kwa njia ya mlango nyuma
Nawasilisha