Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,883
- 22,305
Kuna kosa gani kuraise capital?Hivi inakuingia akilini kabisa kwamba wakupe gawio la elfu 50 kisha wakuombe mtaji wa laki 5????.....by the way, unaelewa mahana ya gawio??????.
Kuna kosa gani kuraise capital?Hivi inakuingia akilini kabisa kwamba wakupe gawio la elfu 50 kisha wakuombe mtaji wa laki 5????.....by the way, unaelewa mahana ya gawio??????.
Una raise capita kwa kugawa kidogo unacho kipata?.Kuna kosa gani kuraise capital?
Unaijua trillion wewe walizoomba karibu trillion 2 ni zaidi ya kuanzisha shirika jipya.
Gawio wanaotoa TTCL siyo kwamba wamepata faida hapana. Ni lazima watoe hilo gawio sababu serikali imewapa ku run mkongo wa taifa on behalf. Kwahiyo pesa wanayozalisha lazima wawape serikali.
Halafu wanaomba zingine tena.Wakipewa 1.7 T mwakani gawio litakuwa 1T.
Hiiiiiii
Wameshindwa hata na edge E tu.Mi nilidhani wanaomba hela kwa ajiri ya 5G Technology?
Mkisema mnajiendesha kwa hasara kwani mtachapwa viboko?Kuna kosa gani kuraise capital?
Kutoa gawio ni wajibu wa mashirika ya serikali kama vile kulipa kodi kwa mashirika binafsi.Una raise capita kwa kugawa kidogo unacho kipata?.
Kwani unafikiri kampuni binafsi hazitumii vyanzo vingine kuwekeza nje ya faida?Mkisema mnajiendesha kwa hasara kwani mtachapwa viboko?
Outwardly inaonekana hivyo lakini uhalisia ni pa CAG anaposema shirika liko hoi lakini wakati huo huo linatoa 'surplus on profif a.k.a gawio' kwa godfather wake! Au nalo likaguliwe na 'mangesho'!?Huoni kuwa uongozi mpya chini ya Omary Nundu TTCL inafanya vizuri na ikiweza kuweka minara nchi nzima itaweza kuhimili vishindo vya akina vodacom?
Watumiaji wa TTC wamekuwa wakilalamika kuhusu coverage ya mtandao huo, wao wameomba fedha kuwekeza kwenye minara ili huduma iwepo nchi nzima, tatizo liko wapi?Outwardly inaonekana hivyo lakini uhalisia ni pa CAG anaposema shirika liko hoi lakini wakati huo huo linatoa 'surplus on profif a.k.a gawio' kwa godfather wake! Au nalo likaguliwe na 'mangesho'!?
Tulivyokuwa wadogo nakumbuka TTCL wakati huo walifunga minara nchi nzima na mpaka miaka ya tisini mwishoni zinaingia hizi kampuni nyingine ndipo wakagundua kuwa ile minara matumizi yake yalikuwa yamepitwa na wakati. Cha tahadhari ni kwamba hizi kampuni zingine hazimiliki minara yao tena bali zinakodisha na wakodishaji hawamiliki mitandao bali expertise zao ni kweye kujenga na kumanage minara sehemu kubwa duniani.Watumiaji wa TTC wamekuwa wakilalamika kuhusu coverage ya mtandao huo, wao wameomba fedha kuwekeza kwenye minara ili huduma iwepo nchi nzima, tatizo liko wapi?
Tuwe wa kweli kuwa TTCL ilirubuniwa ndiyo maana imekuwa ikisuwa suwa.Tulivyokuwa wadogo nakumbuka TTCL wakati huo walifunga minara nchi nzima na mpaka miaka ya tisini mwishoni zinaingia hizi kampuni nyingine ndipo wakagundua kuwa ile minara matumizi yake yalikuwa yamepitwa na wakati. Cha tahadhari ni kwamba hizi kampuni zingine hazimiliki minara yao tena bali zinakodisha na wakodishaji hawamiliki mitandao bali expertise zao ni kweye kujenga na kumanage minara sehemu kubwa duniani.
Hoja yangu hapa nina wasiwasi kama TTCL wana business plan inayotarget miaka 15 - 25 badala ya focus yao kuwa kuangalia voda, tigo wamefanya nini (introduce) then wanaomba ruzuku kukifanya hicho hicho kwa kasi zaidi. Safaricom na hata hizo MTN sio kampuni za serikali lakini zinafanya vizuri huko ziliko na zinalipa kodi kubwa serikalini na serikali za huko zinafaidi zaidi kwa njia hiyo badala ya kuziombe zife!