TTCL yaomba Sh 1.7 trilioni kuboresha huduma zake

TTCL yaomba Sh 1.7 trilioni kuboresha huduma zake

Shirika halijaimarika unatoa gawio la nini badala ya kuliimarisha unaomba nini sasa?nyie wasomi nyie empty upstair bure kabisa. Kwanini msiseme ukweli hakuna gawio tunaboresha shirika.
 
Huyu Omary Nundu bado yupoga tu, ma CCM bwana hawawezi maisha tofauti na kujipachika kwenye taasisi za serikali na kuiba iba.

TZS 1.7 Trillion kwa ajiri ya kuboresha huduma za simu za mezani. Nani anatumia simu za mezani siku hizi? Yaani tutumie 1.7 Trillion kwenye obsolete life style? ndio ma strategists wa TTCL hawa?

Mi nilidhani wanaomba hela kwa ajiri ya 5G Technology?
Omari Nundu ni telecoms engineer....was working huko Canada, JK akamtoa kumleta bongo....

Unfortunately siasa za majitaka zimemshinda...

Anyways....wanatoa gawio wakati wana shida ya mtaji....holy crap.
 
Tatizo la kufanya kazi serikalini hata uwe na mawazo bora kiasi gani, presha ya kisiasa ni kubwa sana
Shirika halijaimarika unatoa gawio la nini badala ya kuliimarisha unaomba nini sasa?nyie wasomi nyie empty upstair bure kabisa. Kwanini msiseme ukweli hakuna gawio tunaboresha shirika.
 
Telecommunication market share in Tanzania

Vodacom 32%
TIGO 27.6%
Airtel 27.1%
Halotel 9.5% (hawa wana miaka mitatu tu tangu waanze kufanya operation Tanzania)
TTCL 1% of market share

TTCL wanawateja 429,735 kati yao 127,094 ni land lines ambapo kwa sasa ni (0.4%) of telecommunication in Tanzania na wao ndio wana monopoly.

Source https://www.tanzaniainvest.com/telecoms/telecom-penetration-2017

Haya Dar-Es-Salaam pekee kuna potential customers wangapi wakuwafungia land line na internet services?

Ni hivi hapo hakuna mfanyabiashara ni watu hawa hawa mwaka jana walikuwa wanalilia wapewe Airtel na wateja wao, leo wamekuja na kilio kingine cha kupewa mtaji tsh 1.7 trillion.

Kampuni yenyewe kumbe katika mapato ya zaidi ya billion 160 baada ya makelele yote net profit ni tsh billion 8 tu nyingine zote zinarudi kama gharama ya kuendesha shirika, Halafu mkurugenzi anajisifu kuajiri watu wengi kushinda wengine hao watu wanafanyanini kwenye kampuni yenye smallest market share and smallest profit.

Hawa watu awajaweza ata utilise monopoly waliyonayo katika baadhi ya mikoa kwa sababu ya kukosa ubunifu kuwapa huo mtaji ni kucheza na hela za walipa kodi; hakuna mfanyabiashara hapo.
 
Omari Nundu ni telecoms engineer....was working huko Canada, JK akamtoa kumleta bongo....

Unfortunately siasa za majitaka zimemshinda...

Anyways....wanatoa gawio wakati wana shida ya mtaji....holy crap.

Hii mambo ya Nundu kama Board Chairperdon na CEO wa TTCL ni maigizo ya KISIASA tu...! Remember Nundu anataka kurudi Serikalini/Siasa kupitia TTCL. CEO naye mwaka 2015 aligombea Ubunge Kinondoni nasikia kura haxikutosha....!
Hivo hawa jamaa wanataka au wanaitumia TTCL kama mtaji wa kisiasa tu..!
Ntakuwa mtu wa.mwisho kushangaa kama hawa wawili hawatakuwemo kwenya Baraza la Mawaziri baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!!
 
Telecommunication market share in Tanzania

Vodacom 32%
TIGO 27.6%
Airtel 27.1%
Halotel 9.5% (hawa wana miaka mitatu tu tangu waanze kufanya operation Tanzania)
TTCL 1% of market share

TTCL wanawateja 429,735 kati yao 127,094 ni land lines ambapo kwa sasa ni (0.4%) of telecommunication in Tanzania na wao ndio wana monopoly.

Source https://www.tanzaniainvest.com/telecoms/telecom-penetration-2017

Haya Dar-Es-Salaam pekee kuna potential customers wangapi wakuwafungia land line na internet services?

Ni hivi hapo hakuna mfanyabiashara ni watu hawa hawa mwaka jana walikuwa wanalilia wapewe Airtel na wateja wao, leo wamekuja na kilio kingine cha kupewa mtaji tsh 1.7 trillion.

Kampuni yenyewe kumbe katika mapato ya zaidi ya billion 160 baada ya makelele yote net profit ni tsh billion 8 tu nyingine zote zinarudi kama gharama ya kuendesha shirika, Halafu mkurugenzi anajisifu kuajiri watu wengi kushinda wengine hao watu wanafanyanini kwenye kampuni yenye smallest market share and smallest profit.

Hawa watu awajaweza ata utilise monopoly waliyonayo katika baadhi ya mikoa kwa sababu ya kukosa ubunifu kuwapa hizo ni kucheza na hela za walipa kodi; hakuna mfanyabiashara hapo.

Huo ni ukweli mchungu ambao lazima Mwenyekiti wa Bodi na CEO TTCL waumeze.
Wanatoa gawio la kumfurahisha Bwamkubwa ili waendelee kuifaidi TTCL huku wakitafuta hela ya Kampeni mwaka kesho.......!
 
Mbona Tanesco ipo peke yake lakini hakuna Tofauti na TTCL? Acheni kutafuta sababu, mchawi ni CCM.
Kuna sheria inayozuia makampuni binafsi kusambaza umeme Tanzania.
Mahakama ya mafisadi inafanya nini...?
Unafikiri waliokuwa wanafanya hivyo hawakufikiria jinsi ya kujilinda kisheria?
Uweke minara wakati makampuni binafsi yabinafsisha minara, hii idea ya kuvamia biashara ambazo hatuzijui zinawaumiza watoto wenu hawataishi kamwe waajiriwe, leo hii simu penetration ni zaidi y 90% sasa unataka TTCL wa duplicate investment isiyo na shida wakati hata dawa hatuna stupid
Kwani wanakodisha hiyo minara bure? TTCL imekuwa ikilipa milioni 700 - 800 kwa mwezi kutumia minara ya watu binafsi, huoni kuwa hiyo ni liability?
 
Kuna sheria inayozuia makampuni binafsi kusambaza umeme Tanzania.

Unafikiri waliokuwa wanafanya hivyo hawakufikiria jinsi ya kujilinda kisheria?

Kwani wanakodisha hiyo minara bure? TTCL imekuwa ikilipa milioni 700 - 800 kwa mwezi kutumia minara ya watu binafsi, huoni kuwa hiyo ni liability?
Excuses, excuses, excuses.... tangu 1961 ni lichama hilo hilo na serikali ya hao hao......[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hii mambo ya Nundu kama Board Chairperdon na CEO wa TTCL ni maigizo ya KISIASA tu...! Remember Nundu anataka kurudi Serikalini/Siasa kupitia TTCL. CEO naye mwaka 2015 aligombea Ubunge Kinondoni nasikia kura haxikutosha....!
Hivo hawa jamaa wanataka au wanaitumia TTCL kama mtaji wa kisiasa tu..!
Ntakuwa mtu wa.mwisho kushangaa kama hawa wawili hawatakuwemo kwenya Baraza la Mawaziri baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!!
Agreed....
Generally speaking....wanatwanga maji kwenye kinu....

my 5 yrs old boy knows Halotel ya juzi tu lakini haijui TTCL...[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Sasa kama kulikuwa na viongozi wa serikali waliofanya juu chini kuiua TTCL ili makampuni ya nje waliyoyaleta yafanikiwe, unategemea itashindana vipi?
Kama wanatoa gawio tajwa ni kwamba wana pata faida, warudishe gawio hilo kwenye matumizi badala ya kulitoa na kurudi kuomba.
 
Huoni kuwa uongozi mpya chini ya Omary Nundu TTCL inafanya vizuri na ikiweza kuweka minara nchi nzima itaweza kuhimili vishindo vya akina vodacom?
Ndo watumie hiyo pesa wanayo igawa kujengea minara taratibu taratibu.
 
Ndo watumie hiyo pesa wanayo igawa kujengea minara taratibu taratibu.
Kwani wakati TTCL inafanyiwa sabotage ili vodacom iteke soko unafikiri walifanya taratibu?
Kama wanatoa gawio tajwa ni kwamba wana pata faida, warudishe gawio hilo kwenye matumizi badala ya kulitoa na kurudi kuomba.
Wanatakiwa kisheria kutoa gawio.
 
Kwani wakati TTCL inafanyiwa sabotage ili vodacom iteke soko unafikiri walifanya taratibu?

Wanatakiwa kisheria kutoa gawio.
Hivi inakuingia akilini kabisa kwamba wakupe gawio la elfu 50 kisha wakuombe mtaji wa laki 5????.....by the way, unaelewa mahana ya gawio??????.
 
Back
Top Bottom