[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii miaka 10 iishe tu ujinga mtupu.
Ukizoea maisha ya ajira, ni sawa na kuzoea kufanya NGOs, huwezi toka nje ya mfumo huo akili imezoea.Huyu Omary Nundu bado yupoga tu, ma CCM bwana hawawezi maisha tofauti na kujipachika kwenye taasisi za serikali na kuiba iba.
TZS 1.7 Trillion kwa ajiri ya kuboresha huduma za simu za mezani. Nani anatumia simu za mezani siku hizi? Yaani tutumie 1.7 Trillion kwenye obsolete life style? ndio ma strategists wa TTCL hawa?
Mi nilidhani wanaomba hela kwa ajiri ya 5G Technology?
TTCL yaomba Sh1.7 trilioni kuboresha huduma zake
![]()
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Omary Nundu amesema shirika hilo linahitaji Sh1.77trilioni kuboresha huduma zake za simu za mkononi na mezani.
Nundu ametoa kauli hiyo leo Jumanne Mei 21, 2019 katika hafla ya shirika hilo kutoa gawio la shilingi 2.1bilioni kwa Serikali iliyokwenda sambamba na uzinduzi wa awamu ya pili ya huduma ya video conference.
Source: Mwananchi
Ukitaka vichekesho zaidi bonyeza *nyumbanikumenoga# then piga.
Tunasubiri gawio la ATCL ili tucheke zaidi.
Utasikia watu wanasema Mdude anatumia lugha kali kukosoa....Hv mtu km huyu anayefanya ukomedy kwenye sereous issues ambiwe nnTTCL yaomba Sh1.7 trilioni kuboresha huduma zake
![]()
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Omary Nundu amesema shirika hilo linahitaji Sh1.77trilioni kuboresha huduma zake za simu za mkononi na mezani.
Nundu ametoa kauli hiyo leo Jumanne Mei 21, 2019 katika hafla ya shirika hilo kutoa gawio la shilingi 2.1bilioni kwa Serikali iliyokwenda sambamba na uzinduzi wa awamu ya pili ya huduma ya video conference.
Source: Mwananchi
Ukitaka vichekesho zaidi bonyeza *nyumbanikumenoga# then piga.
Tunasubiri gawio la ATCL ili tucheke zaidi.
Au unamaanisha wanatoa kwa ajiri ya kupiga picha na kudanganya wananchi kwamba wakati wa Urais wa Magufuri Mashirika ya UMMA ufanisi uliongezeka kiasi cha kutengeneza faida na kuipatia serikali gawiwo.Gawio wanaotoa TTCL siyo kwamba wamepata faida hapana. Ni lazima watoe hilo gawio sababu serikali imewapa ku run mkongo wa taifa on behalf. Kwahiyo pesa wanayozalisha lazima wawape serikali.
TTCL yaomba Sh1.7 trilioni kuboresha huduma zake
![]()
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Omary Nundu amesema shirika hilo linahitaji Sh1.77trilioni kuboresha huduma zake za simu za mkononi na mezani.
Nundu ametoa kauli hiyo leo Jumanne Mei 21, 2019 katika hafla ya shirika hilo kutoa gawio la shilingi 2.1bilioni kwa Serikali iliyokwenda sambamba na uzinduzi wa awamu ya pili ya huduma ya video conference.
Source: Mwananchi
Ukitaka vichekesho zaidi bonyeza *nyumbanikumenoga# then piga.
Tunasubiri gawio la ATCL ili tucheke zaidi.
TTCL yaomba Sh1.7 trilioni kuboresha huduma zake
![]()
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Omary Nundu amesema shirika hilo linahitaji Sh1.77trilioni kuboresha huduma zake za simu za mkononi na mezani.
Nundu ametoa kauli hiyo leo Jumanne Mei 21, 2019 katika hafla ya shirika hilo kutoa gawio la shilingi 2.1bilioni kwa Serikali iliyokwenda sambamba na uzinduzi wa awamu ya pili ya huduma ya video conference.
Source: Mwananchi
Ukitaka vichekesho zaidi bonyeza *nyumbanikumenoga# then piga.
Tunasubiri gawio la ATCL ili tucheke zaidi.
Na mimi nashangaaVery very shame! Halafu wanahitaji trl.1.7 wakati wametoa gawio.....
Uweke minara wakati makampuni binafsi yabinafsisha minara, hii idea ya kuvamia biashara ambazo hatuzijui zinawaumiza watoto wenu hawataishi kamwe waajiriwe, leo hii simu penetration ni zaidi y 90% sasa unataka TTCL wa duplicate investment isiyo na shida wakati hata dawa hatuna stupidHuoni kuwa uongozi mpya chini ya Omary Nundu TTCL inafanya vizuri na ikiweza kuweka minara nchi nzima itaweza kuhimili vishindo vya akina vodacom?
MAIGIZOHapo kuna tatizo unomba
Sh 1.7 trilioni halafu unatowa gawio la shilingi 2.1bilioni