TTCL yaomba Sh1.7 trilioni kuboresha huduma zake
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Omary Nundu amesema shirika hilo linahitaji Sh1.77trilioni kuboresha huduma zake za simu za mkononi na mezani.
Nundu ametoa kauli hiyo leo Jumanne Mei 21, 2019 katika hafla ya shirika hilo kutoa gawio la shilingi 2.1bilioni kwa Serikali iliyokwenda sambamba na uzinduzi wa awamu ya pili ya huduma ya video conference.
Source: Mwananchi
Hivi hiyo karibu trillion 2 si wanaanzisha shirika jingine jipya la simu.
Ukitaka vichekesho zaidi bonyeza
*nyumbanikumenoga# then piga.
Tunasubiri gawio la ATCL ili tucheke zaidi.