Mudhyd
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 492
- 507
me nimenunua line yao lakini cha ajabu mpaka uweke kwenye simu yenye uwezo wa 4g then ndio utatumia 3g kawaida!!!Sio Kwamba wanatoa 4G services tu hata 3G service kwa wakazi wa DSM ipo!
Kwa kweli napenda Sana speed ya TTCL kwa sasa nilikua nawakandia ila kwa sasa wako
kamili kabisa!
100%
View attachment 425847