utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 990
- 800
Kwa Majibu wa account yao ya instagram leo, kampuni ya simu ya Ttcl imekuwa kati ya makampuni machache Africa kuzindua hii 4.5G au LTE-Advanced Pro, Mlimani City leo. Yenye theoretical 1Gbps speeds sawa na speeds za Broadband/Adsl (Internet za waya)
Mfano wa demonstration ya speeds ya 4.5g.
Kwa picha zaidi ya uzinduzi TTCL, Huawei wazinduwa huduma ya teknolojia ya 4.5G Tanzania | MTAA KWA MTAA BLOG
Mfano wa demonstration ya speeds ya 4.5g.
Kwa picha zaidi ya uzinduzi TTCL, Huawei wazinduwa huduma ya teknolojia ya 4.5G Tanzania | MTAA KWA MTAA BLOG