Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,645
- 3,889
Mimi Sina hamu na nyie. Kwanza vocha zenu zinasumbua kupatikana nikaamua kujiongeza Nika recharge tpesa ili niwe nanunulia huko....
Matokeo yake ile hela kwenye tpesa siwezi kuifanyia chochote iwe Ni kununua kufurushi ama kuituma.... Kama sio uwizi Ni nn....
Matokeo yake ile hela kwenye tpesa siwezi kuifanyia chochote iwe Ni kununua kufurushi ama kuituma.... Kama sio uwizi Ni nn....


!!!! Kuweni waungwana basi