Ftc
Senior Member
- Apr 30, 2017
- 144
- 114
Nadhan ni mgeni kwenye hili jukwaaHahaha huyo jamaa kwenye hiyo fani anajua hadi anakera.....
Nadhan ni mgeni kwenye hili jukwaaHahaha huyo jamaa kwenye hiyo fani anajua hadi anakera.....
Eh!!!!!Tigo 4g Iringa![]()
Tatizo vifurushi gharama[/QUOTE
Hiv 4G ya TTCL ipo nchi nzima au baadhi ya mikoa????Wakuu hali zenu!!!
Kwakweli nimekuwa nikitumia mitandao ya kampuni tofauti tofauti hasa kwenye maswala ya Internet lakini nimeonja radha ya TTCL 4G kwa DSM na ZNZ Mashallah jamaa wako vizuri saana kwakweli.
Naweza kustream video vyema kabisaa na hata zile short films za social network kama Instagram vids yaani zina flow kwa haraka zaidi.
Kwa hakika hawa jamaa wamejipanga vyema!!
Hongera kwao. Wajitahidi kasi hii iwe endelevu zaidi.
Coverage yao bado ndogo sana,mimi binafsi wameniboa...Wakuu hali zenu!!!
Kwakweli nimekuwa nikitumia mitandao ya kampuni tofauti tofauti hasa kwenye maswala ya Internet lakini nimeonja radha ya TTCL 4G kwa DSM na ZNZ Mashallah jamaa wako vizuri saana kwakweli.
Naweza kustream video vyema kabisaa na hata zile short films za social network kama Instagram vids yaani zina flow kwa haraka zaidi.
Kwa hakika hawa jamaa wamejipanga vyema!!
Hongera kwao. Wajitahidi kasi hii iwe endelevu zaidi.
mm mb 500 wikikweli wewe sio mtumiaji mzuri wa net! GB 3 wiki nzima!
ila halotel shida yao ni mb siku hizi hazjkaiTena kama mm natumia lain ya chuo buku gb1.2 kwa wiki,,,huko kama 3400 endeleen,nikiweka halotel ya 3000 naata GB 3.6 nadownloud series mwanzo mwsho
Kakurupuka huyo.Nadhan ni mgeni kwenye hili jukwaa
Wanaisifia kwa maneno tu cheki mambo ya tigo 4g haya unadownload kitu cha mb 200 kwa dakika 1au 2Haibebeki au vipi maana leo uzi upo page ya saba ila bado sioni anayepost speed test result's za hiyo TTCL ili tujue kweli sio mchezo.
Wanaisifia kwa maneno tu cheki mambo ya tigo 4g haya unadownload kitu cha mb 200 kwa dakika 1au 2![]()
Safi![]()
TTCL 4G Mwanza
kama ni business package ni bei rahisi tu hio na decent speed. usifananishe mobile data na hizo zenye dedicated speed kwa ajili ya biashara.hapa ofisini iko ttcl 4g (niko posta) na inalipiwa 60000 per month lakini download speed imezidi sana labda 150kb/s (asubuhi sana au usiku)
otherwise ikishafika saa nne asubuhi inakata. ttcl hovyo sana huduma mbovu halafu bei juu
bila shaka wewe ni mwajiriwa/mkereketwa wa TTCL, waambie waache mambo uchwara kama ya tigo watoe huduma nzuri kama wanavyoadvertise yani hata video conferencing inashindakana?kama ni business package ni bei rahisi tu hio na decent speed. usifananishe mobile data na hizo zenye dedicated speed kwa ajili ya biashara.
sasa hivi TTCL wana speed nzuri kwenye 4G kama hamna issue za maana hapo ofisini kwenu hamieni huko.