TTCL 4G siyo ya Mchezo Mchezo...!!!!!

TTCL 4G siyo ya Mchezo Mchezo...!!!!!

bila shaka wewe ni mwajiriwa/mkereketwa wa TTCL, waambie waache mambo uchwara kama ya tigo watoe huduma nzuri kama wanavyoadvertise yani hata video conferencing inashindakana?

U-Bashite tu

sasa kama watu wame advertise wanapika wali mtamu then wewe ukaenda hotelini ukaagizia ugali then unalalamika ugali sio mtamu na kuwalaumu matangazo yao kosa ni la nani?

hili ni jukwaa la technology huwa hatuandikii mate,

1. onyesha proof kwamba unatumia huduma ya TTCL 4G na sio business package ambayo ni dedicated kwa speed hio.

2. eka screenshot ya speedtest ya hio 4g.

kama huwezi kuprove usiwatuhumu watu kwa vitu usivyovijua.
 
wp_ss_20170509_0001.png
VODACOM 4G
 
sasa kama watu wame advertise wanapika wali mtamu then wewe ukaenda hotelini ukaagizia ugali then unalalamika ugali sio mtamu na kuwalaumu matangazo yao kosa ni la nani?

hili ni jukwaa la technology huwa hatuandikii mate,

1. onyesha proof kwamba unatumia huduma ya TTCL 4G na sio business package ambayo ni dedicated kwa speed hio.

2. eka screenshot ya speedtest ya hio 4g.

kama huwezi kuprove usiwatuhumu watu kwa vitu usivyovijua.
sikiliza ndugu, me sio mjinga nikurupuke kuanza kuwalaumu ttcl kimahaba tu.

nimeleta kero, na nategemea wahusika wa ttcl walione hili na kulifanyia kazi na sio kuanza kulumbana na wahusika wenyewe.

karibia kila siku mnaleta fundi wenu lakini mambo ni yale yale yanajirudia. JIREKEBISHENI
 
sikiliza ndugu, me sio mjinga nikurupuke kuanza kuwalaumu ttcl kimahaba tu.

nimeleta kero, na nategemea wahusika wa ttcl walione hili na kulifanyia kazi na sio kuanza kulumbana na wahusika wenyewe.

karibia kila siku mnaleta fundi wenu lakini mambo ni yale yale yanajirudia. JIREKEBISHENI
bado hujaleta proof ya TTCL 4G
 
4G ya mtandao wa ttcl ndo maana halisi ya 4G speed .na sio hii mitandao mingine uongo mwingi
 
4G ya mtandao wa ttcl ndo maana halisi ya 4G speed .na sio hii mitandao mingine uongo mwingi
Hapana mkuu huku iringa tigo 4g iko vizuri sanaa tena naifurahia kupita maelezo
 
bila shaka wewe ni mwajiriwa/mkereketwa wa TTCL, waambie waache mambo uchwara kama ya tigo watoe huduma nzuri kama wanavyoadvertise yani hata video conferencing inashindakana?

U-Bashite tu

Huyo jamaa unamfahamu vizuri au unasema tu??
 
Nilinunua line ya TTCL ya 4G kwa tshs. 2000/-,nikaweka kwenye simu. Kuvuka mataa ya ubungo network ikakata,sijawai itumia tena mpaka leo hii.
Awa jamaa, Internet yake kwa upande wa maeneo ya apa Udsm vip? Wapo vizuri au ndio changamoto
 
Back
Top Bottom