mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
kwa 4g ttcl hana mpinzani ...na sasa hivi wamefika A town , mwanza sasa hivi naenjoy hapa,wapo moro,wapo zanzibar,WAPO MBEYA,KIBAHA...mdogo mdogo watafika tu kampuni ilihujumiwa sana na investment waliofanya ni hela zao za makusanyo hawapewa mtaji wowote na serikali...........kwa kweli wakimaliza coverage jiji lote la mwanza voda, airtel itakua kuishney mana huku mikoani ukiondoa dar jamaa wanazingua mno kwenye data 3g yenyewe ni shida kupata hata a hapa mjini...nilivoambiwa minara ya 4g ttcl wameshaweka TOWN,IGOGO,NYAKATO, NYEGEZI ,GHANA nilikimbilia laini yao haraka na kwa kweli na enjoy sana ....mi siangaliii gharama naangalia ubora.........hawa jamaaa wakipata mtaji wakiweka coverage nchi nzima ndio tutaona mpambano vzur