kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,887
Nizungumze kizalendo kabisa kuhusu hii Ttcl hii ni kampuni ya Serikali inatutosha kabisa katika suala la mawasiliano na ushindani nchini
Uwekezaji wa ttcl ukiangalia walivyosambaza cable kila pahala sio uwekezaji mdogo ni uwekezaji mkubwa sana
Kiukweli sasa hivi ttcl inapatikana naweza kusema ni nchi nzima almost maeneo mengi niliyotembelea ipo
Cha ajabu na kinachoniliza ni watumiaji wachache, hawa jamaa wana ofisi za kutosha, kila kitu yaani, wanauhakika wa kufanya kazi zao na ulinzi nzuri wa kisera maana serikali inalea hili shirika
Ttcl waboreshe network zao,,,,wasambaze 4g zaidi....Ikiwezekana waje na 5g.....Iwe ni lazima kila mtanzania kumiliki line ya TTCL ...naam isiwe ni lazima kutumia lakini walau iwe ni lazima kila mtu kusajili line ya Ttcl
Faida ya hii ni kwamba
1.Ttcl itapata mamilioni ya wateja
2.Mapato yataongezeka maradufu
3.Mabando yatashuka na yatakua bei chee
4.Italeta ushindani na makampuni mengine nayo itabidi waanze kuwaza mbinu za kuendelea kushindana ikiwemo kutazama vifurushi upya nk...
Ttcl ikiwa imara na inayotengeneza kipato ikiwa na usimamizi nzuri, serikali inaweza kuvuna na kupata matrilioni ya pesa kutoka kwenye hili shirika....nawaambia ttcl inaweza ikafanya tukapunguza kutegemea misaada kwa kiasi fulani maana tutapata mapato makubwa sana kupitia ttcl
Halafu hili litaenda sambamba na kushusha vifurushi viwe bei chee zaidi...yakifanyika haya tutarajie Ttcl pesa zikizagaa kila mahali hadi vijijini
Mfano sasahv ukienda vijijin huko wilayani inakamata vizuri tu tena inasoma 3G na H+ yenye speed balaa,ofisi zipo,minara ipo lakini cha ajabu unakuta watumiaji kwa wilaya husika hawafiki hata watu 400 hili linaumiza sana, na hapo serikali imewekeza sana huku ttcl, fedha nyingi sana zimetumika,mikongo ya taifa inajengwa ya mabilioni
Inabidi tuvae roho ngumu tu kuhusu kuinyanyua ttcl kuwa na line ya ttcl iwe ni lazima kwa kila mtanzania kwa manufaa ya nchi yetu
Uwekezaji wa ttcl ukiangalia walivyosambaza cable kila pahala sio uwekezaji mdogo ni uwekezaji mkubwa sana
Kiukweli sasa hivi ttcl inapatikana naweza kusema ni nchi nzima almost maeneo mengi niliyotembelea ipo
Cha ajabu na kinachoniliza ni watumiaji wachache, hawa jamaa wana ofisi za kutosha, kila kitu yaani, wanauhakika wa kufanya kazi zao na ulinzi nzuri wa kisera maana serikali inalea hili shirika
Ttcl waboreshe network zao,,,,wasambaze 4g zaidi....Ikiwezekana waje na 5g.....Iwe ni lazima kila mtanzania kumiliki line ya TTCL ...naam isiwe ni lazima kutumia lakini walau iwe ni lazima kila mtu kusajili line ya Ttcl
Faida ya hii ni kwamba
1.Ttcl itapata mamilioni ya wateja
2.Mapato yataongezeka maradufu
3.Mabando yatashuka na yatakua bei chee
4.Italeta ushindani na makampuni mengine nayo itabidi waanze kuwaza mbinu za kuendelea kushindana ikiwemo kutazama vifurushi upya nk...
Ttcl ikiwa imara na inayotengeneza kipato ikiwa na usimamizi nzuri, serikali inaweza kuvuna na kupata matrilioni ya pesa kutoka kwenye hili shirika....nawaambia ttcl inaweza ikafanya tukapunguza kutegemea misaada kwa kiasi fulani maana tutapata mapato makubwa sana kupitia ttcl
Halafu hili litaenda sambamba na kushusha vifurushi viwe bei chee zaidi...yakifanyika haya tutarajie Ttcl pesa zikizagaa kila mahali hadi vijijini
Mfano sasahv ukienda vijijin huko wilayani inakamata vizuri tu tena inasoma 3G na H+ yenye speed balaa,ofisi zipo,minara ipo lakini cha ajabu unakuta watumiaji kwa wilaya husika hawafiki hata watu 400 hili linaumiza sana, na hapo serikali imewekeza sana huku ttcl, fedha nyingi sana zimetumika,mikongo ya taifa inajengwa ya mabilioni
Inabidi tuvae roho ngumu tu kuhusu kuinyanyua ttcl kuwa na line ya ttcl iwe ni lazima kwa kila mtanzania kwa manufaa ya nchi yetu