Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,077
- 1,438
Mkuu 'MCHINA' wangu ana:sio vyote ila wana coverage kubwa sana ya 3g, Tafuta simu yenye quad band za 3g halafu uiangalie kama ipo kwa kusearch network.
flagship zote za karibuni zina quadband, simu kama galaxy s2, s3, s4 mpaka s7, lumia zote etc usitumie simu za kichina nyingi hazina band za smart
2G: GSM 850/900/1800/1900MHz
3G: WCDMA 850/1900/2100MHz
Vipi anasupport?
Nimejaribu kusearch kuna mtandao umeingia kama 64009 sijajua ni mtandao gani mkuu!
...mwenye ya TTCL nae atuwekee