TTCL 4G siyo ya Mchezo Mchezo...!!!!!

TTCL 4G siyo ya Mchezo Mchezo...!!!!!

sio vyote ila wana coverage kubwa sana ya 3g, Tafuta simu yenye quad band za 3g halafu uiangalie kama ipo kwa kusearch network.

flagship zote za karibuni zina quadband, simu kama galaxy s2, s3, s4 mpaka s7, lumia zote etc usitumie simu za kichina nyingi hazina band za smart
Mkuu 'MCHINA' wangu ana:
2G: GSM 850/900/1800/1900MHz
3G: WCDMA 850/1900/2100MHz

Vipi anasupport?
Nimejaribu kusearch kuna mtandao umeingia kama 64009 sijajua ni mtandao gani mkuu!
 
Mkuu 'MCHINA' wangu ana:
2G: GSM 850/900/1800/1900MHz
3G: WCDMA 850/1900/2100MHz

Vipi anasupport?
Nimejaribu kusearch kuna mtandao umeingia kama 64009 sijajua ni mtandao gani mkuu!
sikumbuki vizuri ila ni 850 au 900mhz,

halotel na smart wote network zao zinatokea kama namba, sometime smart inatokea kama tritel pia.

jaribu hio network na line ya halotel ikikataa ni ya smart, tafuta line ya smart upime speed kama ni nzuri enjoy unlimited internet kwa 20,000
 
sikumbuki vizuri ila ni 850 au 900mhz,

halotel na smart wote network zao zinatokea kama namba, sometime smart inatokea kama tritel pia.

jaribu hio network na line ya halotel ikikataa ni ya smart, tafuta line ya smart upime speed kama ni nzuri enjoy unlimited internet kwa 20,000
Ok Sir.
 
Tigo 4g Iringa
1f73ef2274c09d4f1291f5c19c3e7d9e.jpg
 
halotel mpambanishe na 3g wenzake kama airtel anaekupa 2gb kwa buku (uni) hii ni 4g, mitandao ya 4g ni Tigo, voda, Ttcl, smart, smile na zantel (wanatumia net ya tigo)
Hee unakijua unacho kisema hapa au ndy ugeni wa mitandao?
 
Wakuu hali zenu!!!

Kwakweli nimekuwa nikitumia mitandao ya kampuni tofauti tofauti hasa kwenye maswala ya Internet lakini nimeonja radha ya TTCL 4G kwa DSM na ZNZ Mashallah jamaa wako vizuri saana kwakweli.

Naweza kustream video vyema kabisaa na hata zile short films za social network kama Instagram vids yaani zina flow kwa haraka zaidi.

Kwa hakika hawa jamaa wamejipanga vyema!!

Hongera kwao. Wajitahidi kasi hii iwe endelevu zaidi.
Tatizo vifurushi gharama
 
Back
Top Bottom