zinakuaga bei gan vileKama Upo Dar nenda Machinga Complex utapata
Haizidi buku 10zinakuaga bei gan vile
Mkuu msaada jinsi ya kujiungaHahotel 1.2GB kwa tsh. 1000/=. Kwa wiki..
Nani kama hallotel..?
Hii ni kwa line ya chuo mkuu, tsh. 500/= unapata mb 600 kwa wiki..Mkuu msaada jinsi ya kujiunga
Hii najiungaje mkuu?.Mhh hili ni tangazo gb 1 kwa 3400 huku halotel 1200 1.2gb
Ila mi nashangaa mb zao zinapukutika/zinaisha haraka sana.Mimi halotel natumia line ya Chuo GB 10 Kwa Tshs 9,999/- kwa mwezi mzima
Hiyo naipataje mkuu,.?Mkuu umesahua na ile ya gb 3.7 kwa sh 2000 halotel
Mi naishi hapa A town ebu nijuze ntazipataje laini zao?.kwa 4g ttcl hana mpinzani ...na sasa hivi wamefika A town , mwanza sasa hivi naenjoy hapa,wapo moro,wapo zanzibar,WAPO MBEYA,KIBAHA...mdogo mdogo watafika tu kampuni ilihujumiwa sana na investment waliofanya ni hela zao za makusanyo hawapewa mtaji wowote na serikali...........kwa kweli wakimaliza coverage jiji lote la mwanza voda, airtel itakua kuishney mana huku mikoani ukiondoa dar jamaa wanazingua mno kwenye data 3g yenyewe ni shida kupata hata a hapa mjini...nilivoambiwa minara ya 4g ttcl wameshaweka TOWN,IGOGO,NYAKATO, NYEGEZI ,GHANA nilikimbilia laini yao haraka na kwa kweli na enjoy sana ....mi siangaliii gharama naangalia ubora.........hawa jamaaa wakipata mtaji wakiweka coverage nchi nzima ndio tutaona mpambano vzur
Nenda TTCL ofisini karibu na Jiji la ARUSHA.Mi naishi hapa A town ebu nijuze ntazipataje laini zao?.
akikujibu, usisahau kunitag mkuu.Mkuu msaada jinsi ya kujiunga
Nijuze mkuu hii unajiunga vipi.Hahotel 1.2GB kwa tsh. 1000/=. Kwa wiki..
Nani kama hallotel..?
kama alivyoshauri mdau hapo juu machinga ndio unapata vitu vingi au likoma kariakoo kuanzia likoma na uhuru elekea kanisa la kkkt kuna maduka mengi pale hukosi.Hivi CMOS battery za DELL aina ya Desktop naweza kupata wapi hapa mjini mkuu