TTCL 4G siyo ya Mchezo Mchezo...!!!!!

TTCL 4G siyo ya Mchezo Mchezo...!!!!!

TOyota crown ina 180kph, passo nayo 180kph. Bei ziko sawa? Zote zinafika 180kph kwa muda uleule?
Pia unadownload ki2 kimoja cha gb 1 kwa 3400 mm nadownload vitatu kwa 2000 na 1400 na inabaki chenji
 
Mimi ni mdau mkubwa wa TTCL na naifahamu TTCL A to Z.Kitu muhimu Watanzania wenzangu tuiunge mkono kwani ni juzi tu wametoka utumwani.TTCL ilikuwa inamilikiwa na Airtel ni juzi tu Serikali imewalipa airtel na kutuachia kampuni yetu.Hivyo ndio tunaanza,tuwaunge mkono kwa hali na mali ili mwendo ulioanzishwa na Kazaura basi Waziri aendelee nao.Kama tender zote za kujenga majumba ya Serikali amepewa TBA.Basi kama mdau wa TTCL nakuomba Mtukufu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa John Pombe Magufuli uwaamrishe UCSAF( Universal Communications Service Access Fund) Tender zote za kupeleka mawasiliano rahisi vijijini basi wawapatie TTCL ili iweze kuenea kwa kasi na iweze kupambana na makampuni haya makubwa sokoni.
 
I know TTCL since broadband kwakweli hawa jamaa wako hot....ila sijajua coverage yao ikoje nnje ya dar na maeneo ya pembezoni mwa mji
Network inashika Dar city centre pekee. Hata kimara tu inashika kwa kubembeleza
 
yani hiyo 4G ya TTCL uozo mtupu...kama unataka stress nunua uone plus wako expensive af hamna kitu waiiii....

Wewe una simu inayosupport 4g au kujifanya mjivu huku ukitumia simu ya 2g. Kwa speed ya internet hakuna kama TTCL. Tatizo watu mnapenda vya wengine vya ndani hamtaki kusikia wala ku-appreciate. Tabia ya kichawi hii
 
Nilinunua line ya TTCL ya 4G kwa tshs. 2000/-,nikaweka kwenye simu. Kuvuka mataa ya ubungo network ikakata,sijawai itumia tena mpaka leo hii.

Chali hiyo simu yako labda haisupport 4g maana TTCL kwa upande wa 4g wako dsm yote na hata kibaha wamefika. Kuhusu gharama lazima ujue utofauti wa 3g na 4g mkuuu.
 
Chali hiyo simu yako labda haisupport 4g maana TTCL kwa upande wa 4g wako dsm yote na hata kibaha wamefika. Kuhusu gharama lazima ujue utofauti wa 3g na 4g mkuuu.

Simu yangu haina tatizo,coverage yao haikua kubwa.
 
Back
Top Bottom