Trust katika Mahusiano

Trust katika Mahusiano

Hiyo kali loh....lazima fimbo zitembee.

Kuna iliyotokeaga mzee kaaga nyumbani anaenda safari mkoa jirani kikazi, mama kamfungashia mumewe vizuri...kakunja goti kaenda mpitia mapango wake wa kando wameishia segera...wamekula raha zao weeeeee....wanarudi sasa watafute gest wajifiche hadi siku za semina alizondanganya ziishe....katikati hapo ajali.....kimada dead hapo hapo...m babano mguu wa kulia noo mguu wa kushoto....mama anapiwa simu njoo mumeo yuko desh desh hospit.....

Aduwaa.....si nieagwa mimi toka alfajiri mtu kaenda semina....iweje iweje? Kufika hospital mumewe.....
ha haaa, hivi vituko vipo vya kumwaga.....
kuna nyingine...... aaaahhh!
naona uvivu kuhadithia, lol!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
rafiki unajua mimi napenda kuwa bibi?
na hicho ndo haswaaa ambacho huwa tunashindwa kufikia muafaka na babu Dark City

Tar tibu tar tibu mamie....wakati utafika uatakuwa dear....kwani vyachelewa....babu lazima asikubali sbb he knows you quality loh
 
Tar tibu tar tibu mamie....wakati utafika uatakuwa dear....kwani vyachelewa....babu lazima asikubali sbb he knows you quality loh
najua pa kumkamatia..... siku ntamwambia tumwage birth certificate hadharani.......
patachimbika mbona!
 
najua lazima tuwe na mashahidi ili mjadala usije kuendelea.....
nimekuchagua kuwa shahidi wangu.... mbona babu ana kazi?

Tena ya ziada...siku hiyo nitakuwa mjukuu msaliti na si mjukuu mtiifu......fanyeni utaratibu
 
Inatosha kwa leo Kisura @FP....usiku mwema ulale unono na njozi njema.....lol! hahahahahahah utajijuuuuu :majani7::majani7::majani7:
 
babu shkamoo! mimi mtu kama huyo hata kuishi naye naona tabu sana! anaweza kukudanganya sanaaaaa, mpaka siku akikuambia ukweli, utahisi labda ni ile hulka yake imekomaa, jamani jamani TUPUNGUZE UONGOOOOOOO! MTU UNAKUWA MUONGOOOOOOOO, utasikia mimi nakaa kwenye bonge la ghorofa mbezi baharini, umepata mgonjwa ghafla, tumekuja kwako, kumbe unakaa kwenye kota za polisi! jamaniiiiiiiiiiiiiiiii! puuuuuuuuuuuuu!
hapo kwenye puuuuuuuuuuu, mi namalizia MBAAAAAAKS!
 
daaaa hata anaye uliza swali kama hili lazima anategemea kudanganywa.

Swali hili na "uko wapi?" nalo lafuatia kwa kuproduce majibu ya uongo.
Halafu kuna la umri pia, hili nalo linawakumba wengi sana, lakini tija yake sijaijua mpaka leo. Mtu anapunguza 4 years ya umri wake halisi ukijiuliza kweli umri utapungua kiukwelii jibu ni hapana, so if s/he is not comfortable about his/her age kwa kudanganya anafanikiwa pia kujidanganya mwenyewe??????
 
ha haaa, ndo maana sikutaka kabisa kuzungumzia uongo kuhusu mipango ya kando..... kwenye hilo, wooooteeeee tunasema uongo. siwezi kubali kwa mpenzi wangu kuwa nina mpango wa kando, labda anikamate, lol!

Kutokuwa mwaminifu, uongo, na mengine ni nadhiri ya mtu kutoka moyoni mwake. Usipojenga wewe uaminifu basi ipo shida. Wapenzi wote wanawajibika katika hili na ni ngumu sana kutanabaisha tatizo lipo wapi.

Tunatofautiana toka mtu mmoja kwenda mwingine na malezi tulikotoka ndo chanzo cha yote haya. Kinachobakia ni awaye yote kujitathimini kwamba; Je, anamthamini kwa kiwango gani mpenzi wake? anaweka mzingira gani ya kuaminika na mpenzi wake? anahitaji mpenzi wake amwamini kwa kiasi gani? anataka nini toka kwa mpenzi wake ili awe wa kumthamini zaidi?

Hii yote ni kutaka kuweka mazingira thabiti na sahili kwa mpenzi wake ili maisha yapate nafuu yake......
 
ha haaa, ni kweli kuna wanaotengeneza hadithi za kufikirika ili tu mwenzie ajisikie haaminiwi.
lakini mf. namwambia mtu naenda salon na anakuamini kabisa, nakaa huko masaa matatu au zaidi halafu narudi na kichwa kama kilivyoenda, hakuna badiliko, unatengeneza mazingira gani? kulikuwa na foleni kubwa, mbona hukurudi baada ya nusu saa? umepoteza masaa matatu then hujafanya lolote bado unataka mtu aamini kuwa ulikuwa salon? kama ulikuta foleni hapo salon na ukaamua ufanye misele mingine kwa nini usimpigie mwenzio na kumwambia salon kumeshindokana sasa nimeamua nikapite hosp nikaone wagonjwa?
unarudi umechelewa, hujafanya ulichosema waenda kukifanya, unasubiri uulizwe ndo utoe hadithi?
....... Mimi hapa ndipo nsipoelewa. Mtu kama anathamni mahusiano yake na kumjali mpenzi wake kama kuna mabadiliko ya ratiba kuna ugumu gani kumweleza?? Eh pengine ndio maana mimi huambiwa ninajiexpress sana................... and may be am dating the wrong men. Honestly sielewi. Yaani nikimweleza mtu ratiba yangu anaona kama am feeding him too much of unnecessary information!!! Labda nianze kudate hawa wa JF ambao wanaonekana kidogo ni waelewa!!:angry:
 
Niliposoma kichwa cha mada nilidhan ni ya zamani kumbe ni yajana tu
'
Dah!Jambo gumu hili,trust!!!!
 
Inatosha kwa leo Kisura @FP....usiku mwema ulale unono na njozi njema.....lol! hahahahahahah utajijuuuuu :majani7::majani7::majani7:
asante kwa kujali rafiki.... uliona nilisepa nadhani hata kabla sijaiona hii post yako....
hope upo salama kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
KIMSINGI cacico na FP nawasalimia sana!MNO!
GOOD GIRLS!MWAAAAH!LOVE YU MINGIIIII!MNO!
enh sasa mbn nawasifia sanaaaaaaaaaaaaa!
ah mmenibore mjue!
ha haaa, sasa usipowasifia dada zako utamsifia nani? hao wa kukudanganya? au mwenzetu wapenda sana kudanganywa mwili na roho?
hebu nichungulizie hapo chini kuna watu wangapi hapa? ujue hili ni janga kubwa sana katika mahusiano mengi? karibu weengiii tuna story ya kuelezea hapa.
BTW, ukimwona cacico mwambie mwenzie nina invitation ya kuhudhuria talk ya Obama...... nitamtext pics whatsapp
 
Last edited by a moderator:
Swali hili na "uko wapi?" nalo lafuatia kwa kuproduce majibu ya uongo.
Halafu kuna la umri pia, hili nalo linawakumba wengi sana, lakini tija yake sijaijua mpaka leo. Mtu anapunguza 4 years ya umri wake halisi ukijiuliza kweli umri utapungua kiukwelii jibu ni hapana, so if s/he is not comfortable about his/her age kwa kudanganya anafanikiwa pia kujidanganya mwenyewe??????
ha haa, hapo mimi pia nipo guilty, sijawahi taja umri wangu wa kikweli lakini kwa wale ambao hawana tija......
tofauti na hao, mimi huwa naongeza angalau miaka isiyopungua 5....
kiukweli huwa sina sababu yoyote ya msingi ya kufanya hivyo, naamuaga tu, ila kwa vile haina madhara naona poa tu
 
Back
Top Bottom