Trust katika Mahusiano

Trust katika Mahusiano

Kisa chako hapo juu kimenikimbusha class mate wangu afu alikuwa wa kwetu pia, so mama ya te nilikuwa namwita shangazi. Tulimaliza wote primary secondary tukaachana, but likizo tukawa tunaonana, tukamaliza o level tukaenda advance but shule tofauti but kizamani zamani tukawa tunaandikiana baru.

Sasa kumbe kule shule alikoenda alianza tabia mbaya...i mean A level...likizo akawa haji nyumbani kwetu tena, na hata tukienda kwao anakuwa na nyodo nyodo flani....mie tena nikaamuka kukata urafiki mazima.

Kumbe yeye ana ishu zake...so anaaaga kwa shangazi kuwa anakuja kwetu akati haji, kipindi hicho no cell phone..ukitaka taarifa lazima uchape lapa, TZ 11 ili ukazipate. So alikuwa analala anakokujua akiulizwa anasema kalala kwetu.

Mama mtu akashuka....mboma mwanae ndo anakuja kwetu but sisi mda mrefu umepita hatukanyagi kwao? Wakatuma mtoto wao mwengine kuja kuliza....nyumba nzima tukashangaa...maana hatujawah kumtia machoni....basi wazazi wke wakazani tunatania.

Wakaja, intentionally kunisakama mimi nieleze mtoto wao alipo maana eti siku zote akiaga anasema anakuja kwa KOKUTONA mmmh eti ni siku ya 3 hajarudi na wao wanajua yuko huku.....ikabidi liongelewe kwa mapana na marefu na wakagundua mtoto wao amewaingiza mjini....lakini ndo nilikuwa nimeigizwa kwenye janga nisilolijua.....kisa UONGO.

Wlikuja kumpata mahali ambapo walikuwa shoaked
KOKUTONA nadhani itakuwa kwa kidume tu..chezeya utamu wa sukari
 
Last edited by a moderator:
Ndo maana yake Kaizer.....fikiria wahaya walikuwa wanawekeza elimu kwa binti yaooo...alafu mbwiga tu anakuja kuharibu....alikomaje huyo jamaaa, alijuta kula vya kina muganyizi

Kwani alimlazimisha jamani? Kwa.nini wamnyanyase kidume
 
Last edited by a moderator:
maweeeee dah uuuwiii ujue nilikuwa nachukia sana hawa kaka zetu..unataka kunirudisha huko eeeh?

Tunaishi nao wapo na wataendelea kuwepo mdogo wangu Smile....na tunategemeana....you need kuishi nao kwa akili na kumuomba Mungu akupe best choice.

Kuwachukia haiwezi kusaidia...sbb utachukia, utaumiza moyo wako bure kurundika chuki juu yao ilhali yao yanawanyookea.
 
Last edited by a moderator:
Kisa chako hapo juu kimenikimbusha class mate wangu afu alikuwa wa kwetu pia, so mama ya te nilikuwa namwita shangazi. Tulimaliza wote primary secondary tukaachana, but likizo tukawa tunaonana, tukamaliza o level tukaenda advance but shule tofauti but kizamani zamani tukawa tunaandikiana baru.

Sasa kumbe kule shule alikoenda alianza tabia mbaya...i mean A level...likizo akawa haji nyumbani kwetu tena, na hata tukienda kwao anakuwa na nyodo nyodo flani....mie tena nikaamuka kukata urafiki mazima.

Kumbe yeye ana ishu zake...so anaaaga kwa shangazi kuwa anakuja kwetu akati haji, kipindi hicho no cell phone..ukitaka taarifa lazima uchape lapa, TZ 11 ili ukazipate. So alikuwa analala anakokujua akiulizwa anasema kalala kwetu.

Mama mtu akashuka....mboma mwanae ndo anakuja kwetu but sisi mda mrefu umepita hatukanyagi kwao? Wakatuma mtoto wao mwengine kuja kuliza....nyumba nzima tukashangaa...maana hatujawah kumtia machoni....basi wazazi wke wakazani tunatania.

Wakaja, intentionally kunisakama mimi nieleze mtoto wao alipo maana eti siku zote akiaga anasema anakuja kwa KOKUTONA mmmh eti ni siku ya 3 hajarudi na wao wanajua yuko huku.....ikabidi liongelewe kwa mapana na marefu na wakagundua mtoto wao amewaingiza mjini....lakini ndo nilikuwa nimeigizwa kwenye janga nisilolijua.....kisa UONGO.

Wlikuja kumpata mahali ambapo walikuwa shoaked
hii stori tuliwahi itumia hiyo mimi na rafiki yangu....
rafiki kaaga anakuja kwangu temeke, anatokea kigogo..... akapata ajali bagamoyo...... chezeya uongo wewe.... unapata picha tulijitetea nini kwa wazazi zaidi ya kutandikwa bakora? hapo tumemaliza form 6.
 
acha nilale tu babu kesho nina mtihani
ila hakuna kitu nachukia kama uongo huku duniani

kweli uongo kitu kibaya sana japo akina dada wakiambiwa ukweli wanapotongozwa hasa kwetu sisi wanafunzi unachafuliwa darasa zima au chuo kizima watajua kuwa hujui kutongoza.....ila ukiwapa uongo kesho yake mbuyu chini....mtihani mwema mi ijumaa mida ya saa tano asbh nitakuwa nimemaliza mitihani kazi inabaki kujimwaga tu hapa jamvini....all in all simile wish once again all da best.
 
kweli uongo kitu kibaya sana japo akina dada wakiambiwa ukweli wanapotongozwa hasa kwetu sisi wanafunzi unachafuliwa darasa zima au chuo kizima watajua kuwa hujui kutongoza.....ila ukiwapa uongo kesho yake mbuyu chini....mtihani mwema mi ijumaa mida ya saa tano asbh nitakuwa nimemaliza mitihani kazi inabaki kujimwaga tu hapa jamvini....all in all simile wish once again all da best.
kumbe wewe denti best?
sasa midevu hiyo ya nini? au ndo uongo wenyewe unauanzia hapa JF kwa kutuonyesha kuwa mzee? ha haaa
cc. Lady doctor, Passion Lady, charminglady, King'asti, Smile, KOKUTONA, amu......
jamani kuna aliyenionea Nyamayao? nimemmissije sasa hapa kumwaga maujuzi yake!
 
Last edited by a moderator:
acha nilale tu babu kesho nina mtihani
ila hakuna kitu nachukia kama uongo huku duniani

kweli uongo kitu kibaya sana japo akina dada wakiambiwa ukweli wanapotongozwa hasa kwetu sisi wanafunzi unachafuliwa darasa zima au chuo kizima watajua kuwa hujui kutongoza.....ila ukiwapa uongo kesho yake mbuyu chini....mtihani mwema mi ijumaa mida ya saa tano asbh nitakuwa nimemaliza mitihani kazi inabaki kujimwaga tu hapa jamvini....all in all simile wish once again all da best.
 
kumbe wewe denti best?
sasa midevu hiyo ya nini? au ndo uongo wenyewe unauanzia hapa JF kwa kutuonyesha kuwa mzee? ha haaa
cc. Lady doctor, Passion Lady, charminglady, King'asti, Smile, KOKUTONA, amu......
jamani kuna aliyenionea Nyamayao? nimemmissije sasa hapa kumwaga maujuzi yake!

Jamani hiyo midevu ulivyoitamka kwa bashasha utadhani unaiona.......sina midevu ni ndevu......bado dent mwenzio ....japo unapaswa jua kuwa helimu haina mwisho ndio maana wazee na vikongwe wanasoma ...mwenzangu vp unalea nini?
 
kumbe wewe denti best?
sasa midevu hiyo ya nini? au ndo uongo wenyewe unauanzia hapa JF kwa kutuonyesha kuwa mzee? ha haaa
cc. Lady doctor, Passion Lady, charminglady, King'asti, Smile, KOKUTONA, amu......
jamani kuna aliyenionea Nyamayao? nimemmissije sasa hapa kumwaga maujuzi yake!

huyo mwenye midevu ni mwanafalsafa wangu ninayempenda sana ukizingatia na ishara yetu wale tunaoamini ktk pipoooooooooooooooooooooooooooz ndo kabisa nazidi kumpenda na madevu yake
 
Avater hizi bi dada...waeza dhani wa 47 kumbe wa 2002.....

Bora umenisaidia mkuu angeniona huyo dada nilivyo anaweza kataa japo 2002 sio anga zangu.........so naamini hata yeye mwenzetu hyo avtar yake tukitaka kumjua huenda ni bibi yetu anayesthili kusalimiwa kwa kupga magoti kama ilivyozoeleka kwetu sumbawanga
 
hii stori tuliwahi itumia hiyo mimi na rafiki yangu....
rafiki kaaga anakuja kwangu temeke, anatokea kigogo..... akapata ajali bagamoyo...... chezeya uongo wewe.... unapata picha tulijitetea nini kwa wazazi zaidi ya kutandikwa bakora? hapo tumemaliza form 6.

Hiyo kali loh....lazima fimbo zitembee.

Kuna iliyotokeaga mzee kaaga nyumbani anaenda safari mkoa jirani kikazi, mama kamfungashia mumewe vizuri...kakunja goti kaenda mpitia mapango wake wa kando wameishia segera...wamekula raha zao weeeeee....wanarudi sasa watafute gest wajifiche hadi siku za semina alizondanganya ziishe....katikati hapo ajali.....kimada dead hapo hapo...m babano mguu wa kulia noo mguu wa kushoto....mama anapiwa simu njoo mumeo yuko desh desh hospit.....

Aduwaa.....si nieagwa mimi toka alfajiri mtu kaenda semina....iweje iweje? Kufika hospital mumewe.....
 
Bora umenisaidia mkuu angeniona huyo dada nilivyo anaweza kataa japo 2002 sio anga zangu.........so naamini hata yeye mwenzetu hyo avtar yake tukitaka kumjua huenda ni bibi yetu anayesthili kusalimiwa kwa kupga magoti kama ilivyozoeleka kwetu sumbawanga

Ha ha haaaa jamani.... FP ni mrembo wa hatari acha kabisa
 
Last edited by a moderator:
Bora umenisaidia mkuu angeniona huyo dada nilivyo anaweza kataa japo 2002 sio anga zangu.........so naamini hata yeye mwenzetu hyo avtar yake tukitaka kumjua huenda ni bibi yetu anayesthili kusalimiwa kwa kupga magoti kama ilivyozoeleka kwetu sumbawanga
hivi ulikuwa hujaanza tu kunipigia magoti?
wenzako walianza kitambo sana, na wewe endelea tu..... mimi ndo dada mkubwa huku jukwaani
 
Back
Top Bottom