wanawake wanapenda kudanganywa ngoja nikupe mfano,nilikuwa na demu wangu zikapita siku 2 sikumpigia simu ya tatu akanipigia na kuniuliza mbona nimemsusa nikamwambia nilikuwa nimesafiri mara moja ndo nimerudi sasa hivi nafika tu ndo nakutanan na call yako eti akaamini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.