MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
na hilo siyo kosa. unaweza kuamua umwambie au usimwambie maana mmebambana tu wala hukuwa na dhamira ya kukutana naye
Yes unaweza usimwambie but akaambiwa na vishongondombiu, ukajikuta tu jioni waulizwa flani hajambo? kumbe siku hizi mwasubiriana kwenye daladala............ unabaki mdomo wazi!