KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,651
- 6,109
ha haaa, ndo maana sikutaka kabisa kuzungumzia uongo kuhusu mipango ya kando..... kwenye hilo, wooooteeeee tunasema uongo. siwezi kubali kwa mpenzi wangu kuwa nina mpango wa kando, labda anikamate, lol!
Shosti post imeniacha mbaali...but nitaifuatilia yoote and i will give my opinion....
Ila hapa nimeweka nukta nikacheka kwanza bold hyooo