Trump launches military strike against Syria

Trump launches military strike against Syria

Pro Russians mna kazi sana.
Mmekazania Sputnik
Haya fanyeni mnaloweza kufanya
Mnalia lia tuuuuu
Sisi tumesema tumepiga mabomu anga mnalolinda maana yake defence system zenu ni mbovu sana ndo maana mmepigwa
Mngekuwa mmedungua hata kamoja mngejidai sana
 
we jamaa umezidi ushabiki, Wasyria, Wairan wanasema hakun tena kambi ya jeshi wewe unasema makombora hayakuwa effective

Ngoja tumsikilize Trump akiongelea Syria baada ya nusu saaa
Hawa Warusi wanaonesha kakipande kadogo
 
Je, Russia wanatakaa kimya wakati rafiki yao anabamizwa? kama wataamua kurudisha mashambulizi je, ndiyo itakuwa hatua za mwanzo za vita kuu ya tatu duniani!? CNN wanadai kabla ya mashambulizi kuanza rasmi, Russia walijulishwa kuhusu mashambulizi hayo.
USA imeshambulia Russia Syria. watarudisha mashambulizi kwa nani?
 
Unajua huwa sielewi namna wanavyohalalisha haya mambo!! Yaani Assad kaua kwa sumu raia, anakuja Marekani na suluhisho la kuua raia walewale kwa mabomu?!! Hii inasaidia nini sasa, kwa sababu kama ni Assad ndiye aliyeua si bado yupo?!! Halafu unakuta kilaza anashangilia. Hii proxy war ya US na Russia inawaumiza zaidi raia wa Syria kuliko huyo Assad.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kitabu chetu hakihusiani na mawazo yako yalivyo mgando.

Na swali langu hukulijibu vizuri kuhusu Vietnam kupimana ubavu na huyo unayempigia upatu kuwa ana uchumi mkubwa. Je, huyo Mrusi atashindwa nn...?
Its true Islam is the source of evil in this world. Yani natamani sana wanyooshwe au wakubaliane na taratibu za kimagharibi kama saudia dus all
 
Kiukweli ukifuatilia mtiririko wa matukio unajikuta una maswali mengi kuliko majibu. Hebu angalia hapa chini uone fikra zangu za kijinga jinga zinakonipeleka.

Kwanza... Trump anasema hataki kuingia kijeshi huko Syria,

Kisha siku 2 baadaye silaha za sumu zinatumika kuua watu na vyombo vyote vya habari vya wakubwa vinashupalia hii habari huku wakisisitiza kwamba Bashar ndiye aliyefanya haya (Hili linafanyika masaa machache tu baada ya shambulizi, sasa sijui uchunguzi ulifanyika muda gani hadi kuwa na hakika na wanachosema)

Kisha muda si mrefu maafisa waandamizi wa serikali ya Trump wanasisitiza umuhimu wa kumpiga Bashar kwa sababu ya kukiuka haki za binadamu. Halafu baadaye kidogo Trump mwenyewe anazungumzia uwezekano wa kuingia Syria kijeshi

Kisha muda si mrefu Marekani anasema yeye ataingia Syria endapo Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa watasusua ( kwa sababu ni wazi wanajua Urusi angepiga kura yake ya turufu kuzuia maamuzi/kampeni yeyote ya kumwondoa Bashar madarakani)

Kisha muda si mrefu unaambiwa Marekani kashambulia Syria....

Huu mtiririko wa matukio una chembe chembe nyingi sana zinazoashiria kuwa kuna uwezekano mkubwa hili tukio lilipangwa aidha na mahasimu wa Bashar walioko Syria waliotaka kuilazimisha Marekani kuingia Syria kijeshi au pia unaweza kuwa mpango unaohusisha Marekani yenyewe kwa maslahi yake binafsi hapo Syria, ambayo yanawekwa hatarini sana na kuendelea kuwapo madarakani kwa bwana Bashar.

Hata hivyo mimi ni nani basi, wacha niishie hapa niendelee kufikiria kijinga jinga...
 
News

US missile strike on Syria airfield was ‘low efficiency’ – Russian MoD

Published: 7 Apr 2017 | 09:41 GMT



Reuters

The Russian Defense Ministry says the US missile strike on a Syrian airfield wasn't very effective, with only 23 out of 59 Tomahawk missiles reaching their target. The locations of the remaining 36 missiles’ impact is now unknown, the ministry added.

The strike on the Shayrat airfield in Syria’s Homs Province destroyed a material storage depot, a training facility, a canteen, six MiG-23 aircraft in repair hangars and a radar station.

The runway, taxiways and the Syrian aircraft on the parking apron remained undamaged, the ministry said in a statement.

DETAILS TO FOLLOW
Source : RT
Eti yamefika tu 23 mengine 36 sijui yamemezwa humo njiani? Tusubiri season 3 itatoka muda siyo mrefu
Target ya USA. Ilikuwa zila store na ndege sasa barabara za nini hahahaha Russia wanachekesha
 
Gorilla war huwezi ishinda maana unapigana na watu wasio na military insignia ni ngumu kujua nani adui na nani mwananchi mwema.
Angalia Iraq 2003 USA ilishinda maana alikuwa anapigana na Military insignia personels

Vietnam ilikuwa ngumu maana unajikuta watembea kwenye kwenye mpunga mtu anaibuka na kisu

Ingekuwa Military kwa Military hakika Vietnam asingekaa hata wiki
Sio "gorilla" ni "guerrilla". Halafu hiyo ni tactic sio kwamba wanaopigana sio wanajeshi, jeshi la vietnam waliamua kuadapt hiyo kwa sababu walijua waki-wage conventional warfare hawangeweza ku-survive. It is a survival tactic and it is an option kwa hiyo hata hawa wa Syria wanaweza kuitumia wakitaka, hakuna kinachowazuia.
 
Wewe unaakili Ila ni Fala Ndio sababu hujui Mlalamikaji Mkuu wa hizo Silaha ndio Wakili, DPP, Jaji na Bwana Jela!

Zile Silaha zilizokuwa zinamwagwa na Ndege za Kivita za Kimarekani zilikuwa kwa ajili ya kufugia Ngamia?

Fikiri nje ya Box usiwekeze akili zako zote Kwny breaking news za BBC na CNN bila ya kujua Msingi wa kuanzishwa hizo Channel

Pengine JF ingekuwepo wakat wa Uvamizi wa Iraq kusaka Silaha za Maangamizi ungeunga Mkono Kama Leo japo ni Mwaka zaid ya 10 bado Silaha za Maangamizi za Saddam hatujaoneshwa!
Taratibu mkuu, tulia kwanza.
1 (1).jpg
 
Kule syria magaidi wa al qaida na isis wameshangilia sana shambulia la marekani na wamempa Trum jina la heshima,
sasa wanamwita-
Abu Ivanca al amreek yaani Baba Ivanca wa America
 
Kama unaona ni sawa watu kuuwawa kama panzi na unafurahia kabisa moyoni basi akili yako ni ya panzi na moyo wako ni kama wa bwana wa kuitwa Shwetaiiin.
Assad alivyowaua wale watoto juzi haukuwaona? Trump anawatetea watoto, wewe kama unamtetea assad anayemwagia sumu watoto wasio na hatia basi utakuwa mtoto wa jini, nusu mtu nusu jini yale mnayoyafuga. shindwa shetwain!
 
Ila Hatutukani wala kukashifiwa Dini ya Mpondaji, Kisasi kikilipwa Msitukane dini ya anaerudisha Mapigo [emoji12][emoji12]
Sasa hapa dini inahusika vipi mkuu? Manake katika timu ambayo inampiga Assad wamo pia watu wa dini yake (saudia.. Katari.. Uturuki n.nk) hapa ni vita vya kimaslahi. Umeshawahi kujiuliza hao waarabu(saudia ..katari.. Kuwait.. N.k) kwann hawalaani mauaji yanayofanywa na waasi huko Syria?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom