Marekani imefanya shambulizi la makombora takriban 50 ,yalipigwa katika kambi ya jeshi la anga mjini Homs nchini Syria.
Awali maafisa wa Marekani walisema wana mpango wa kuchukua hatua za kijeshi baada ya Syria kushutumiwa kutumia silaha za kemikali katika mji unaodhibitiwa na waasi, ambapo watu kadhaa wamepoteza maisha.
Mashambulizi hayo yametekelezwa kutoka kwenye meli za kijeshi za Marekani katika bahari ya Mediterranea.
Rais wa Marekani Donald Trump amesema ameamuru kutekelezwa kwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Syria huku akitoa wito kwa mataifa yote yaliyostaarabika kukomesha vitendo vya mauaji na umwagaji damu nchini humo
Naye mshirika wa Syria Urusi ametahadharisha madhara yatokanayo na hatua zozote za kijeshi zinazochukuliwa na Marekani dhidi ya Syria .
Hata hivyo Rais Donald Trump amsema kuwa ,kutumia gesi hatari kuua raia wakiwemo watoto wengi, utawala wa Syria ulikuwa umevuka mipaka.
Mike Pregent ni mchambuzi wa masuala ya mashariki ya kati ameiambia BBC kuwa mashambulizi hayo yametoa ujumbe mzito kwa Assad.
Shambulio hilo linawapa Watu wa Syria matumain, na ninachomaanisha ni kuwa haya hakika haya ni Mashambulizi dhidi ya vikosi vya anga vya Assad, silaha za kemikali, pengine dhidi ya hifadhi za mafuta halikadhalika.hivyo haikuwa dhidi ya raia, haikuwaweka marubani wa kimarekani hatarini. Ulikuwa ujumbe maalum kwa Assad kuwa usitumie jeshi lako la anga kuwaadhibu raia, hivyo nafikiri ni ujumbe wenye nguvu.
======
The US has carried out a missile strike against a Syrian air base in response to a suspected chemical weapons attack on a rebel-held town.
Fifty-nine Tomahawk cruise missiles were fired from two US Navy ships in the Mediterranean. President Donald Trump said they hit the Shayrat base that launched Tuesday's attack.
It is the first direct US military action against Syria's president.
The Kremlin, which backs Bashar al-Assad, has condemned the strike.
Dmitry Peskov, spokesman for Russian President Vladimir Putin, called it "an act of aggression against a sovereign nation".
The attack, at 04:40 Syrian time (01:40 GMT), comes just days after dozens of civilians, including many children, died in the suspected nerve gas attack in the town of Khan Sheikhoun in Idlib province.
Speaking from his Mar-a-Lago estate in Florida, Mr Trump branded President Assad a "dictator" who had "launched a horrible chemical weapons attack on innocent civilians".
Mr Trump said he had acted in America's "vital national security interest" to prevent the use of chemical weapons.
"Tonight I call on all civilised nations to join us in seeking to end this slaughter and bloodshed in Syria and also to end terrorism of all kinds and all types," he said.
The UK government called the US strike "an appropriate response to the barbaric chemical weapons attack".
The Pentagon said the Russian military, which supports Syrian government forces, had been informed ahead of the US action.
In a statement it said missiles fired from Navy destroyers USS Porter and USS Ross had targeted aircraft, aircraft shelters, storage areas, ammunition supply bunkers, air defence systems, and radars at Shayrat airfield in western Homs province.
The Pentagon added that the strike was intended "to deter the regime from using chemical weapons again".
It did not give details of damage or casualties but the governor of Homs province said there had been deaths and parts of the base were on fire.
"It will take some time to determine the extent of the damage," Talal Barazi told AFP news agency.
However, the Syrian Observatory for Human Rights, a UK-based monitoring group, said at least four Syrian soldiers had been killed.
Analysis: Jon Sopel, BBC North America editor
Rarely has a policy changed so far and so quickly - and rarely has it been acted upon so swiftly.
When President Trump came to office the Syrian leader was seen as a useful ally in the fight against so-called Islamic State. All talk of regime change stopped.
But the chemical weapons attack changed all that. Within two days, the US has reversed its view on President Assad, identified targets and struck.
What we don't know is whether this is a one-off act of retaliation, or the start of something more prolonged against the Assad government. Nor do we know where it leaves relations with Syria's strong ally, Russia.
A White House spokesman said the site targeted by the cruise missiles "was directly linked to the horrific chemical weapons attack".
"We assess with a high degree of confidence that the chemical weapons attack earlier this week was launched from this site by air assets under the command of the Assad regime," the official said.
"We also assess, with a similar degree of confidence, that the Assad regime used a chemical nerve agent consistent with Sarin in these attacks."
A statement on Syrian state TV said "American aggression" had targeted a Syrian military base with "a number of missiles" but gave no further details.
Source: BBC