Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
Sema Israel, UK, USA vs Syria. Na hako kauaji Ka putin katanyooshwa sana. We sikilizia tuNa russia wameahidi kumlinda Assad, mwisho wa siku itakua ni Trump vs Putin wakati Assad amekaa pembeni na pop corn
KAMA VILE GHADHAFI HAKUTOLEWA MADARAKANI, AU SADDAM HUSSEINUs wako sahihi,watu wanapigana miaka 6 yote,wananchi wanateseka,tatizo hapo ni rais,Asad,apigwe atolewe mambo yatulie,utawala mwingine uwekwe.vita ya 3 ya dunia hakuna na russia itakaa kimya haitafanya lolote lile
Kwahiyo wewe umeona ma housegelo tu ndo hawajui kiingereza? Mbona hata sisi ma shambaboy hatujui.
nampongeza Trump kwa hatua muhimu na bora kabisa. walimzoea obama,sasa jamaa kaingia lazima wajaze vyoo.Mods: Huu uzi ni wa kiswahili sio kule international. Siku hizi JF wapo hadi mahausigeli. Proved. Wengi wao lugha ya meli inawapiga za chembe. Acha tujinafasi na sisi huku kwa lugha yetu wenyewe. So, msifute wala ku merge!
Ni hv kidume Trump kafanya kweli kwa Syria. Baada ya ile sumu iliyowaua watoto kadhaa huko Syria, sasa kama mnavyomjua Trump huwa harembi mambo.
Mwanaume lazima uwe very straight hasa kwa machoko wazinguzi. So, jamaa kapiga yaani huko Syria.
Dah vita mbaya sana, sema ndo hvyo sometimes inabidi tu iwepo ili kuweka dunia sawa.
Samahani kwa uandishi wangu!
Nenda kampikie bosi wako, hakuna ulichoandika hapa.Mods: Huu uzi ni wa kiswahili sio kule international. Siku hizi JF wapo hadi mahausigeli. Proved. Wengi wao lugha ya meli inawapiga za chembe. Acha tujinafasi na sisi huku kwa lugha yetu wenyewe. So, msifute wala ku merge!
Ni hv kidume Trump kafanya kweli kwa Syria. Baada ya ile sumu iliyowaua watoto kadhaa huko Syria, sasa kama mnavyomjua Trump huwa harembi mambo.
Mwanaume lazima uwe very straight hasa kwa machoko wazinguzi. So, jamaa kapiga yaani huko Syria.
Dah vita mbaya sana, sema ndo hvyo sometimes inabidi tu iwepo ili kuweka dunia sawa.
Samahani kwa uandishi wangu!
Alisema baada yakushuhudia mashambulizi ya sumu mtazamo wake umebadilika.tarehe 29/08/2013![]()
Kama unaona ni sawa watu kuuwawa kama panzi na unafurahia kabisa moyoni basi akili yako ni ya panzi na moyo wako ni kama wa bwana wa kuitwa Shwetaiiin.nampongeza Trump kwa hatua muhimu na bora kabisa. walimzoea obama,sasa jamaa kaingia lazima wajaze vyoo.
We maku nn....?Nenda kampikie bosi wako, hakuna ulichoandika hapa.
Assad na yeye kuua watu kama panzi unafurahishwa nayoKama unaona ni sawa watu kuuwawa kama panzi na unafurahia kabisa moyoni basi akili yako ni ya panzi na moyo wako ni kama wa bwana wa kuitwa Shwetaiiin.
Baada ya tukio la sumuNa russia wameahidi kumlinda Assad, mwisho wa siku itakua ni Trump vs Putin wakati Assad amekaa pembeni na pop corn
haa haaaa mbona mmeanza kuparurana wenywe yena!We maku nn....?