Smart boy Shewedy
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 3,730
- 3,525
Nazani komandoo Putin bado hajatoa jibu mubashara kutokana na kile kilicho fanywa na US.
Na Ngoja kuona upepo jinsi utakavyo vuma kuliko kupiga ngonjera zisizo kuwa na kichwa wala miguu.
Sababu huyu US na Urusi huwa wanaogopana wenyewe...
Na Ngoja kuona upepo jinsi utakavyo vuma kuliko kupiga ngonjera zisizo kuwa na kichwa wala miguu.
Sababu huyu US na Urusi huwa wanaogopana wenyewe...