ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,476
- 9,654
Marekan alitoa taarifa tu kwamba atashambulia ila hakuomba ruhusa. Na alitoa taarifa kwa nchi nyinginezo sio Russia peke yakeNaona alitoa taarifa kwa warusi kabla ya kurusha missile zake. Vinginevyo anti-missile system za urusi zilizoko Syria na kuendeshwa kutoka kwenye manawari zilizoko Mediterranean sea zingekuwa "on" na kungetokea star wars! Kwa hiyo mrusi alikubali kuweka "off" mitambo yake kwa makubaliano maalum! Hapo lazima mrusi alichora mstari ambao alisema hauwezi kuvukwa! Of course hata warusi hawakupenda kile kilichofanywa na Syria, hivyo kuridhia kuadhibiwa kwake!
Kama mrusi angegoma, bado marekani angekuwa mpole tu!
Alitoa taarifa mapema hakutaka lawama na pia hakusema atashambulia wapi.