ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,476
- 9,654
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo mkuu umetonesha kidonda warusi kimya hamna wa kukujibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo mkuu umetonesha kidonda warusi kimya hamna wa kukujibu
Subutu... Akiingia tu Russia anapotea.... Uchumi kwake ni tatizo kubwa sanaNazani jibu litakuwa moja tuu...
Sasa km Syria walipewa taarifa kwann hayo makombora hata moja hayakutunguliwa na hzo air defense zao?!Kipi nikichokiandika hukukielewa???
And you believe thatASSADI AME ATTACK WATU WAKE NA SARIN GAS NA MZEE MZIMA UZALENDO UMEMSHINDA IMEBIDI AFANYE KWELI. WATCH OUT PEOPLE TRUMP IN THE HOUSE.
Subutu... Akiingia tu Russia anapotea.... Uchumi kwake ni tatizo kubwa sana
Vile vita Vietnam na Marekani, wale Vietnam walikuwa na uchumi wa kushindana Marekani mpaka wakashinda...?Subutu... Akiingia tu Russia anapotea.... Uchumi kwake ni tatizo kubwa sana
Una uhakika noi yeye ?ASSADI AME ATTACK WATU WAKE NA SARIN GAS NA MZEE MZIMA UZALENDO UMEMSHINDA IMEBIDI AFANYE KWELI. WATCH OUT PEOPLE TRUMP IN THE HOUSE.
Hujui nn maana ya wazungu hujui yupi anaungwa na marekani kule utakapoyajua utaacha ushabeki maandazSasa km Syria walipewa taarifa kwann hayo makombora hata moja hayakutunguliwa na hzo air defense zao?!
Au kwann hawakuamisha hata vitu vyao maana US kaponda ndege, air defenses, air fields,Radars, nk.
Haya me sijui, tueleze vizuri bhasi ww mjuaji ili niache ushabiki vitumbua.Hujui nn maana ya wazungu hujui yupi anaungwa na marekani kule utakapoyajua utaacha ushabeki maandaz
Sasa km Syria walipewa taarifa kwann hayo makombora hata moja hayakutunguliwa na hzo air defense zao?!
Au kwann hawakuamisha hata vitu vyao maanaUS kaponda ndege, air defenses, air fields,Radars, nk.
Hilo mbona linajulikana mkuu. Siyo US wala Russia mwenye uchungu na raia wa Syria ila wote wapo hapo kwa maslahi ya mataifa yao na sio kusaidia Syria.Hii itawasaidia sana hao wanaoitwa Waasi kupata nguvu ya kumshambulia Rais wa Syria ndugu Assad
Wote tunao changia huku tunachangia tu kutokana na taarifa za nje ,lakini kwa ndani Vita mara nyingi ni za kimaslahi zaidi..
Wewe hujui kitu. When the "Big guys" do their business no, no and nobody can obstruct.This decision might trigger Russia's military action against all those seeming to militarily target Syrian government. It is not so good decision by US
Wewe hujui kitu. When the "Big guys" do their business no, no and nobody can obstruct.
Taarifa ni kwamba Putin alijulishwa before the Tomahawk launch.."just information" sio kuomba ruhusa. Na wlimjulisha aondoe vijidege vyake.
Taarifa ni kwamba air defense system (possibly Russian s300/400) su 22 and many other more.
Kwa taarifa yako, hata wakati Sadam Hussein anatwangwa Russians had their plane and interests there..Just got informed!
Assad siku zake za utawala zinahesabika
Vile vita Vietnam na Marekani, wale Vietnam walikuwa na uchumi wa kushindana Marekani mpaka wakashinda...?