Trump launches military strike against Syria

Trump launches military strike against Syria

we jamaa umezidi ushabiki, Wasyria, Wairan wanasema hakun tena kambi ya jeshi wewe unasema makombora hayakuwa effective
sasa tuseme huoni hizo picha nizoweka link au huna mb za kutosha kufungua link,

maana naona unabisha kama mtu alieishia darasa la tatu,
wakati kumbe umemaliza LY bana,
 
Hivi zile S400 za kirusi hazifanyi kazi tena ya kuzuia hayo makombora ya US
Mkuu, Russia hawajapeleka S400 walipeleka S300 hata hivyo ziko kwenye kambi za kirusi ambazo wanaopereti warusi, haziko kwenye kambi za wasiria, huo mfumo uliwekwa kwa ajili ya warusi pindi ikitokea kitisho cha mashambulizi kwenye maeneo ya warusi nasio maeneo ya wasiria.
 
Assad alivyowaua wale watoto juzi haukuwaona? Trump anawatetea watoto, wewe kama unamtetea assad anayemwagia sumu watoto wasio na hatia basi utakuwa mtoto wa jini, nusu mtu nusu jini yale mnayoyafuga. shindwa shetwain!
Mkuu sitetei chochote na niliumizwa sana kitendo cha Bashir al Assad kutumia biological weapon.

Sasa tatizo ni kwamba kushambulia sio solution, kunaongeza casualities ambao nao ni raia wasiokuwa na hatia. Wajaribu kusolve tatizo kwa njia nyingine sio through air strikes.
 
Us wako sahihi,watu wanapigana miaka 6 yote,wananchi wanateseka,tatizo hapo ni rais,Asad,apigwe atolewe mambo yatulie,utawala mwingine uwekwe.vita ya 3 ya dunia hakuna na russia itakaa kimya haitafanya lolote lile

US hayuko sahihi. Alitakiwa kwanza aombe kikao cha UN Security Council ili walijadili kabla ya kuamua kushambulia. Kama Russia nao wakiamua kumlinda Assad inaweza ikapelekea kwenye vita kali
 
Mkuu sitetei chochote na niliumizwa sana kitendo cha Bashir al Assad kutumia biological weapon.

Sasa tatizo ni kwamba kushambulia sio solution, kunaongeza casualities ambao nao ni raia wasiokuwa na hatia. Wajaribu kusolve tatizo kwa njia nyingine sio through air strikes.
there is no war on earth without collateral casualties. na kwa taarifa yako, vita nyingi huvunja sheria ya kivita ya kutotumia human shield. wengi wanaweka makambi kwenye hospitali, shule etc, hivyo kama una akili hautakiwi kupiga tu. wangekuwa wanafanya hivyo Israel wangeshaua wapalestina wooote kwasababu hamas na hezbolah mara nyingi hutumia raia wao kama human shield, wanawateka kabisa na kuwakusanya ili shambulio likitokea lipige watu wengi dunia ione na kuwaonea huruma. uthibitisho huo upo. magaidi wengi hutumia njia hiyo, na inawezekana ISIS walitumia njia hiyo kwa assad, assad hakuchukua precaution akapiga tu na dunia yote imeona kilichotokea. kupigana vita kiakili alitakiwa atumie njia nyingine kupiga na sio ile aliyoifanya. zaidi ya yote, hizo silaha zilishapigwa marufuku na huwezi kuzitumia kweney golila war ya intercity.
 
Assad anataka kufanana na baadhi ya viongozi flan hv wa bara flan hv.....Six yrs war.....mwisho wake upo tuu...vita ya 3 ni ngumu...na Assad atauawa soon.....hakuna cha Russia wala mtu gani mbele ya USA......ila kwa akili ya kawaida ya kibinadamu waweza fikiri vyovyote.....fikiria kivingine hahaaaaa.

Hata Russia wana nguvu, siyo kupuuzwa. Wakati Bush anaenda kupiga Iraq alidhani ni kwenda kupiga na kuondoka, lakini imewachukua muda mrefu. US watumie diplomasia zaidi kuliko nguvu
 
US hayuko sahihi. Alitakiwa kwanza aombe kikao cha UN Security Council ili walijadili kabla ya kuamua kushambulia. Kama Russia nao wakiamua kumlinda Assad inaweza ikapelekea kwenye vita kali
uombe kikao ujadili nini wakati watu wanauawa hovyo, na wewe unajijua kabisa kuwa unazo nguvu yaani ni mbabe. ni sawa na francis cheka anayejijua anafahamu kumsambaratisha mtu kwa ngumi aanza kuweka kikao na Hamorapa mwoga kama mjusi. we ukiwa na nguvu mtu akikutania piga tu, atakufanya nini?
 
Russia hawawezi kujibu mapigo ili kusababisha vita kuu ya tatu, yaani hawataki kuionyesha dunia kwamba wao nao wameanzisha vita na Marekani ilhali dunia sasa hivi ipo katika sintofahamu kubwa.

Pili, ndani ya Russia kuna matatizo kidogo ya kijamii (social tensions) khasa baada ya shambulizi la bomu pale St Petersburg mahali ambapo alizaliwa raisi Putin.

Ila kwa ujumla kwa upande wa Marekani wanajiona wao sasa ni mabingwa na Russia ni wepesi kwa kutojibu chochote, na kwamba wanaweza kuendelea kupiga mabumu katika nchi yoyote ile (onyo kwa Korea Kaskazini) bila kujibiwa.

Lakini Russia atataka kuitisha mkutano katika UN kujadili hili jambo ambalo linaweza kuvuta muda kwa wanachama wa baraza la Usalama kujikusanya.

Bila shaka umeona jinsi mataifa ya kibeberu yalivyojitokeza kuunga mkono shambulizi hili.

Marekani na washirika wao wanataka wagawane eneo hili khasa Syria ili liwe chini ya Marekani na sio Russia na Iran ambao ndiyo wanaolitawala kwa sasa.
Usifikiri kuwa Amerika ameshambulia bila kibali cha Urusi! Kama ni hivyo kwa nini marekani ilibidi watoe taarifa kwanza kwa Urusi kabla hawajashambulia?
Ukweli ni kwamba marekani na urusi walikaa mezani wakakubaliana kwanza! Na kiwango cha mashambulizi wakakubaliana hata Target za kulengwa wakakubaliana.
Marekani wanajua kabisa kuwa anga la Syria linalindwa na urusi, wakishambulia ghafla, ant-missile system ya warusi itafunguka na kutakuwa na star wars kitu kinachoweza kupelekea vita kubwa sana!
Urusi hawezi kukiri moja kwa moja kuwa walikubaliana kwa sababu akifanya hivyo mshirika wake Assad atajisikia vibaya.
Kitu ambacho wengi hawajui ni kuwa kwenye pwani ya Syria kuna manowari kubwa za kivita za Warusi! Syria is a strategic position for Russia! Ndiyo maana anamlinda Assad kwa nguvu zote!
 
there is no war on earth without collateral casualties. na kwa taarifa yako, vita nyingi huvunja sheria ya kivita ya kutotumia human shield. wengi wanaweka makambi kwenye hospitali, shule etc, hivyo kama una akili hautakiwi kupiga tu. wangekuwa wanafanya hivyo Israel wangeshaua wapalestina wooote kwasababu hamas na hezbolah mara nyingi hutumia raia wao kama human shield, wanawateka kabisa na kuwakusanya ili shambulio likitokea lipige watu wengi dunia ione na kuwaonea huruma. uthibitisho huo upo. magaidi wengi hutumia njia hiyo, na inawezekana ISIS walitumia njia hiyo kwa assad, assad hakuchukua precaution akapiga tu na dunia yote imeona kilichotokea. kupigana vita kiakili alitakiwa atumie njia nyingine kupiga na sio ile aliyoifanya. zaidi ya yote, hizo silaha zilishapigwa marufuku na huwezi kuzitumia kweney golila war ya intercity.
Hizi middle east crisiss zote ni propaganda za western countries ambao wanataka kuzinyonya nchi za kiarabu.
 
uombe kikao ujadili nini wakati watu wanauawa hovyo, na wewe unajijua kabisa kuwa unazo nguvu yaani ni mbabe. ni sawa na francis cheka anayejijua anafahamu kumsambaratisha mtu kwa ngumi aanza kuweka kikao na Hamorapa mwoga kama mjusi. we ukiwa na nguvu mtu akikutania piga tu, atakufanya nini?

Hakuna aliyekuwa na nguvu na ubabe kama Goliath wa kwenye bible. Lakini aliuawa na Daudi kijana mdogo sana tena kwa jiwe dogo. Kwa hiyo diplomasia ni bora zaidi kuliko kutumia nguvu. US isidhani ndo yenye nguvu kijeshi peke yake
 
Mie nawaonea huruma wale vijana wadogo wanaoenda vitani wanapoteza maisha kwa ujinga tu, yeye Trump kama kidume kwa nini asiende yeye?? Anajua yeye wala ndugu zake hawamo kwenye list ya wanajeshi wanaoenda vitani, ila na nyie Syria ndio nini kuchinja wenzenu kama kuku?
 
Hakuna aliyekuwa na nguvu na ubabe kama Goliath wa kwenye bible. Lakini aliuawa na Daudi kijana mdogo sana tena kwa jiwe dogo. Kwa hiyo diplomasia ni bora zaidi kuliko kutumia nguvu. US isidhani ndo yenye nguvu kijeshi peke yake
usiingize mambo ya Bible hapa. pia jua kuwa goliathi hakuuawa na daudi, aliuawa kwa nguvu za Mungu. nguvu ya Mungu pekee ndio iliyomuua adui wa waisrael, na goliati alikuwa mpalestina wa Gaza,kama angekuwa hai leo angekuwa hamas, na Mungu kuwatetea watu wake ndio akamtumia kijana mdogo kabisa. ukija upande wa Mungu alishaahidi hatakuja kuwatupa israel, hivyo anayepambana na israel ni adui wa Mungu. syria ni adui wa israel siku zote na wamekuwa wakiwafund hezborah, Mungu anawaumbua na kuwasambaratisha ili israel ibaki na amani.

urusi imetabiriwa hadi kwenye Bible, hilo taifa la kaskazini kuwa litakuja kwa nguvu kubwa kuisambaratisha israel na kuifuta toka kwenye uso wa dunia, lakini Mungu atawapiga kwa mvua ya mawe na radi hadi watakufa robo tatu. russia wataungana na mataifa ya kiarabu hayohayo dhidi ya israel, na hakuna taifa litakalowakuwa na uwezo kupamana na jeshi hilo, hata marekani hatakuwa na uwezo, ila Mungu ndio atajitwalia utukufu. al magedoni na gogu na magogu kasomeni.
 
bila marekani mathubuti dunia itayumba
Pia bila Russia mathubuti kuna nchi zingeonewa sana! Baada ya urusi kufoka usitegemee marekani kurudia kuipiga syria tena! Marekani walitoa taarifa kabla ya kushambulia syria ili urusi wasitumie surface to air ant-missile system yao! Walikubali kwa masharti!
 
Sasa hapa dini inahusika vipi mkuu? Manake katika timu ambayo inampiga Assad wamo pia watu wa dini yake (saudia.. Katari.. Uturuki n.nk) hapa ni vita vya kimaslahi. Umeshawahi kujiuliza hao waarabu(saudia ..katari.. Kuwait.. N.k) kwann hawalaani mauaji yanayofanywa na waasi huko Syria?


Ndio Ujiulize, Kama ni vita ya Maslahi kwanini wenye Maslahi ya Upande wa pili wakilipiza Kisasi mnaanza kukashifu Dini Yao?
 
Mkuu, Russia hawajapeleka S400 walipeleka S300 hata hivyo ziko kwenye kambi za kirusi ambazo wanaopereti warusi, haziko kwenye kambi za wasiria, huo mfumo uliwekwa kwa ajili ya warusi pindi ikitokea kitisho cha mashambulizi kwenye maeneo ya warusi nasio maeneo ya wasiria.
mkuu zote zipo,yaani S-400 na S-300,
na zote zinacover karibu syria yote kuachia mashariki ya syria,zimecover mpaka israel karibu yote kwa maana kuwa ndege ikiwa bado kwenye runway kule uwanja wa ben gurion israel rada zake zinaiona,
ishu hapa marekani,na russia na pia russia na israel wana memorandum of understanding kuwa killa marekani akitaka kufanya operation lazima kuitaarifu Russia ili kuepuka kutokea ajali,
na vilevile israel hawezi kufanya operation syria bila kuitaarifu russia.

Sasa russia akitaarifiwa inabidi astand down,

ndo maana hata jana nusu saa kabla ya shambulio marekani akatoa taarifa ,ila akawa mjanja kutoa taarifa kwa kamanda wa russia aliepo syria,lakini russia kama kawaida akawapa warning syria,kisha akastand down,

ndo maana leo mrusi alipoamua kujitoa katika makubaliano marekani wameshinda wanambembeleza kwani wanajua sasa itakuwa ngumu kufanya kazi zao syria kwa usalama,
russia imerudisha mawasiliano hayo jioni hii
 
Mkuu, Russia hawajapeleka S400 walipeleka S300 hata hivyo ziko kwenye kambi za kirusi ambazo wanaopereti warusi, haziko kwenye kambi za wasiria, huo mfumo uliwekwa kwa ajili ya warusi pindi ikitokea kitisho cha mashambulizi kwenye maeneo ya warusi nasio maeneo ya wasiria.
mkuu zote zipo,yaani S-400 na S-300,
na zote zinacover karibu syria yote kuachia mashariki ya syria,zimecover mpaka israel karibu yote kwa maana kuwa ndege ikiwa bado kwenye runway kule uwanja wa ben gurion israel rada zake zinaiona,
ishu hapa marekani,na russia na pia russia na israel wana memorandum of understanding kuwa killa marekani akitaka kufanya operation lazima kuitaarifu Russia ili kuepuka kutokea ajali,
na vilevile israel hawezi kufanya operation syria bila kuitaarifu russia.

Sasa russia akitaarifiwa inabidi astand down,

ndo maana hata jana nusu saa kabla ya shambulio marekani akatoa taarifa ,ila akawa mjanja kutoa taarifa kwa kamanda wa russia aliepo syria,lakini russia kama kawaida akawapa warning syria,kisha akastand down,

ndo maana leo mrusi alipoamua kujitoa katika makubaliano marekani wameshinda wanambembeleza kwani wanajua sasa itakuwa ngumu kufanya kazi zao syria kwa usalama,
russia imerudisha mawasiliano hayo jioni hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom