Trump launches military strike against Syria

Trump launches military strike against Syria

Zile s-300 na s-400 za russia hazijatungua ndege za america huko syria
Umeambiwa Ni tomahawk Cruise missiles zilitumika,wame lounch kutoka kwenye distroyer.
Sasa hizo ndege we unazosema zinatokeea wapi?
 
Yaah,Pia vyombo vingine kama DW,BBC na Aljazeera wamesema hivyo hivyo kwamba russia ilijulishwa kuhusu haya mashambulizi...Sasa nachoshangaa ni kwamba,why russia watoke tena kwenye press na ku conderm haya the attack?..Au labda wakati wanajulishwa hawakukubali?.Na kama walikubaliana,why Russia walaum kama hawajui?..Nafikiri kuna unafiki flani unaendelea pale Syria,sithan kama Hawa mabwan wakubwa wana Nia ya dhati kuumaliza huu mzozo.
Sometymes huwa najiuliza,ni nini hasa kipo Syria..
This Crisis is very Complicated kwa kweli.

Maslahi kamanda
 
Mrusi ana kambi ya kijeshi pale na anajua Bashad akiondoka US wataweka kibaraka wao na kuwafukuza Warusi. Tusubiri tuone kama Warusi watakubali Bashad aondolewe kirahisi rahisi.

Yaah,Pia vyombo vingine kama DW,BBC na Aljazeera wamesema hivyo hivyo kwamba russia ilijulishwa kuhusu haya mashambulizi...Sasa nachoshangaa ni kwamba,why russia watoke tena kwenye press na ku conderm haya the attack?..Au labda wakati wanajulishwa hawakukubali?.Na kama walikubaliana,why Russia walaum kama hawajui?..Nafikiri kuna unafiki flani unaendelea pale Syria,sithan kama Hawa mabwan wakubwa wana Nia ya dhati kuumaliza huu mzozo.
Sometymes huwa najiuliza,ni nini hasa kipo Syria..
This Crisis is very Complicated kwa kweli.
 
Bado syria inatumika kama uwanja wa kutest Silaha,alianza Russia ku test ndege zake mpya,na cruise missiles.Sasa naona anafuata US ku Test Upraded Tomahawk cruise missiles...
 
Yaah,Pia vyombo vingine kama DW,BBC na Aljazeera wamesema hivyo hivyo kwamba russia ilijulishwa kuhusu haya mashambulizi...Sasa nachoshangaa ni kwamba,why russia watoke tena kwenye press na ku conderm haya the attack?..Au labda wakati wanajulishwa hawakukubali?.Na kama walikubaliana,why Russia walaum kama hawajui?..Nafikiri kuna unafiki flani unaendelea pale Syria,sithan kama Hawa mabwan wakubwa wana Nia ya dhati kuumaliza huu mzozo.
Sometymes huwa najiuliza,ni nini hasa kipo Syria..
This Crisis is very Complicated kwa kweli.

Russia hawawezi kujibu mapigo ili kusababisha vita kuu ya tatu, yaani hawataki kuionyesha dunia kwamba wao nao wameanzisha vita na Marekani ilhali dunia sasa hivi ipo katika sintofahamu kubwa.

Pili, ndani ya Russia kuna matatizo kidogo ya kijamii (social tensions) khasa baada ya shambulizi la bomu pale St Petersburg mahali ambapo alizaliwa raisi Putin.

Ila kwa ujumla kwa upande wa Marekani wanajiona wao sasa ni mabingwa na Russia ni wepesi kwa kutojibu chochote, na kwamba wanaweza kuendelea kupiga mabomu katika nchi yoyote ile (onyo kwa Korea Kaskazini) bila kujibiwa.

Lakini Russia atataka kuitisha mkutano katika UN kujadili hili jambo ambalo linaweza kuvuta muda kwa wanachama wa baraza la Usalama kujikusanya.

Bila shaka umeona jinsi mataifa ya kibeberu yalivyojitokeza kuunga mkono shambulizi hili.

Marekani na washirika wao wanataka wagawane eneo hili khasa Syria ili liwe chini ya Marekani na sio Russia na Iran ambao ndiyo wanaolitawala kwa sasa.
 
Mrusi ana kambi ya kijeshi pale na anajua Bashad akiondoka US wataweka kibaraka wao na kuwafukuza Warusi. Tusubiri tuone kama Warusi watakubali Bashad aondolewe kirahisi rahisi.
Ndio hapo chacha...
 
Kwa kinachotokea ni dhahiri kuwa Russia ameshindwa kukifanya kile kilichompeleka huko Syria....badala yake amefanya kinyume na kile kilichotarajiwa......

Tangu Russia aingie kijeshi Syria amesababisha maafa makubwa ya kibinadamu kuliko hata kuweka mambo sawa kama ilivyotarajiwa......

Wananchi wengi waliokuwa wakimshangilia sasa hivi wanajuta kuuingia kwake......

Hilo shambulizi la kemikali dhidi ya raia ndio limedhihirisha dhamira ya Russia.....nchini Syria......

Unawezaje kufanya shambulizi kama lile kwenye makazi ya raia.....huku ukijinadi kuwa unawalinda raia....!!??

Kwa upande mmoja naunga mkono matumizi ya kijeshi ya Marekani...kwa kuwa hata Syria akitiwa kiburi na Russia amevunja sana sheria za kimitaifa......nategemea asad uonekana the hague
 
Kwa kinachotokea ni dhahiri kuwa Russia ameshindwa kukifanya kile kilichompeleka huko Syria....badala yake amefanya kinyume na kile kilichotarajiwa......

Tangu Russia aingie kijeshi Syria amesababisha maafa makubwa ya kibinadamu kuliko hata kuweka mambo sawa kama ilivyotarajiwa......

Wananchi wengi waliokuwa wakimshangilia sasa hivi wanajuta kuuingia kwake......

Hilo shambulizi la kemikali dhidi ya raia ndio limedhihirisha dhamira ya Russia.....nchini Syria......

Unawezaje kufanya shambulizi kama lile kwenye makazi ya raia.....huku ukijinadi kuwa unawalinda raia....!!??

Kwa upande mmoja naunga mkono matumizi ya kijeshi ya Marekani...kwa kuwa hata Syria akitiwa kiburi na Russia amevunja sana sheria za kimitaifa......nategemea asad uonekana the hague
Wewe acha kukurupuka
 
Nina maswali najiuliza pasipo majibu
1.Wanasema urusi wametarifiwa,so wanatarifiwa ili iweje??
2.Na hapo U.S.A ana attack serikali ya syria au ana attack vikundi vya waasi
3.Kama.ana attack serikali ya syria kwa nini aitarifu serikali ya syria??? hv unaweza ukapigana na adui alafu ukamtaarifu?
 
Habari mbaya huzimwa na habari sahihi.....

Hili ni jukwaa huru kwa kila mtu kutoa maoni yake....kama maoni yangu yamekukwaza na wewe toa maoni yako yatakayonisahihisha kwani hakuna mkamilifu.....na elimu haina mwisho.....

Ndi maana jf kukaitwa ni home of great thinker.....
Nakusahihisha tu unasema Russia wamesabisha mauaji mengi hapo ndipo nnapo amini binaadamu sio Wa kumuamini so wakati ISIS wanatamba Syria na Iraq wanachinja watu kama kuku ulikua unaona sawa tu
 
Nakusahihisha tu unasema Russia wamesabisha mauaji mengi hapo ndipo nnapo amini binaadamu sio Wa kumuamini so wakati ISIS wanatamba Syria na Iraq wanachinja watu kama kuku ulikua unaona sawa tu

Maangamizi dhidi ya binadamu hayawezi kuwa sawa kwa namna yoyote ile......lakini unaweza ukaona jinsi gani vifo vya raia vilivyokuwa kabla na baada ya kuingia kwa Russia nchini Syria.....
 
Urusi kakosea sana kuja na press release ya kukosoa kilichotokea
Urusi anakuja kwa kutetea kuwa Syria hawana Chemical weapons
Urusi anakubali kuwa waliofanya mashambulizi ni Syria ila hawakutumia Chemical weapons
Urusi aliambiwa kuwa Marekani ataipiga Syria kabla ya tukio
Urusi leo anakuja sema kuwa ataongeza Air defence Syria
Urusi analia lia leo

Walichofanya Pentagon ni kufuata Flight path ya hizo ndege zilizolipua Idbil na kisha wakachukua hatua

Inaonesha kila mtu duniani anamtegemea Marekani kwani baada ya yeye kuwafyatua ndio viongozi wamejitokeza kumpongeza kwa alichofanya


Afrika ndio bala lisilo na msaada duniani
 
Maangamizi dhidi ya binadamu hayawezi kuwa sawa kwa namna yoyote ile......lakini unaweza ukaona jinsi gani vifo vya raia vilivyokuwa kabla na baada ya kuingia kwa Russia nchini Syria.....

Kwenye Press ya Trump baada ya hayo mabomu kupigwa alisema kuwa Watoto wa Mungu hawapaswi kufa kifo cha aina ile,
Binafsi sijaona mkanda mzima wa tukio ila nimeshuhudia watu wakimwagiwa maji maana Sarin gas inaharibu mfumo wa hewa na watu wanakufa kwa kutapa tapa


Trump alimwambia juzi Assad kuwa
Umevuka mstari mwekundu, all options are on the table
 
Nina maswali najiuliza pasipo majibu
1.Wanasema urusi wametarifiwa,so wanatarifiwa ili iweje??

2.Na hapo U.S.A ana attack serikali ya syria au ana attack vikundi vya waasi
3.Kama.ana attack serikali ya syria kwa nini aitarifu serikali ya syria??? hv unaweza ukapigana na adui alafu ukamtaarifu?

Swali la Kwanza

Urusi alipewa taarifa ili aondoe Personels wake na videge vyake

Swali la pili

Serikali ya Syria ndio ililipua mabomu huko Idbil hadi hao watu wakafa

Swali la Tatu

Syria hakupewa taarifa na USA
Hata kama angepewa bado asingejua wapi anapigwa kwani Pentagon walikuwa na uwezo wakudondosha hata Pallace zao ila wakaona watoe warning
 
Kwenye Press ya Trump baada ya hayo mabomu kupigwa alisema kuwa Watoto wa Mungu hawapaswi kufa kifo cha aina ile,
Binafsi sijaona mkanda mzima wa tukio ila nimeshuhudia watu wakimwagiwa maji maana Sarin gas inaharibu mfumo wa hewa na watu wanakufa kwa kutapa tapa


Trump alimwambia juzi Assad kuwa
Umevuka mstari mwekundu, all options are on the table

Alichokifanya Asad dhidi ya raia ni kitendo cha kinyamAa kama sio cha kikatili.....na kinaingia moja kwa moja kwenye makosa ya kivita......bila ya shaka nategemea kumuona akijibu mashtaka yake the hague......

Ninaamini hata mshirika wake Russia hakufurahishwa na kitendo kile...
 
WW3 inanukia

Hapatakuwa na hiyo vita maana itakuwa ni vita ambayo si mlingano
Uchumi wa Urusi si mzuri kuingia kwenye vita
Trump kaomba kuongezewa hela za jeshi kwenye bajeti ijayo na tuelewe kuwa bajeti ya sasa ni zaidi ya Dollar bilion 500 kwenye defence bajeti
 
Alichokifanya Asad dhidi ya raia ni kitendo cha kinyamAa kama sio cha kikatili.....na kinaingia moja kwa moja kwenye makosa ya kivita......bila ya shaka nategemea kumuona akijibu mashtaka yake the hague......

Ninaamini hata mshirika wake Russia hakufurahishwa na kitendo kile...

Assad anajua vyovyote vile lazima atauawa hivo anafanya awezalo ili aendelee kuishi Syria ikiwezekana kuua watu wanaompinga

Bombings za leo ni warning kwake kuwa USA ana uwezo wa kumpiga hata akiwa na Urusi pembeni yake

Rex Tillerson leo kasema kuwa Assad hatakiwi endelea kuwa Rais wa ile nchi
Nionavyo mimi USA ana mpango wa kuingia ndani zaidi amtoe bila UN Council
Trump pia jana kasema kuwa wamempa muda mwingi sana wa kujirekebisha ila hakufanya hivo
 
Hardened aircraft shed
C8y7A8YVYAINMQY.jpg:small
.

But is there any proof?, page 1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom