pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,577
Baada ya tukio la sumu
Naamini Urusi watakuwa wamehuzunishwa ni fedheha
Moscow bado wapo upande wa Assad mkuu wangu
Baada ya tukio la sumu
Naamini Urusi watakuwa wamehuzunishwa ni fedheha
tarehe 29/08/2013![]()
Unanishangaza san mkuu unashabikia vita?shame on unampongeza Trump kwa hatua muhimu na bora kabisa. walimzoea obama,sasa jamaa kaingia lazima wajaze vyoo.
Wamarekani wanatamani ingekuwa ni kweli "Ka Putin!"Sema Israel, UK, USA vs Syria. Na hako kauaji Ka putin katanyooshwa sana. We sikilizia tu
Mods: Huu uzi ni wa kiswahili sio kule international. Siku hizi JF wapo hadi mahausigeli. Proved. Wengi wao lugha ya meli inawapiga za chembe. Acha tujinafasi na sisi huku kwa lugha yetu wenyewe. So, msifute wala ku merge!
Ni hv kidume Trump kafanya kweli kwa Syria. Baada ya ile sumu iliyowaua watoto kadhaa huko Syria, sasa kama mnavyomjua Trump huwa harembi mambo.
Mwanaume lazima uwe very straight hasa kwa machoko wazinguzi. So, jamaa kapiga yaani huko Syria.
Dah vita mbaya sana, sema ndo hvyo sometimes inabidi tu iwepo ili kuweka dunia sawa.
Samahani kwa uandishi wangu!
Huyu Jamaa na huyu wa kwetu hawana tofauti sana....walidhani kuongoza nchi ni kitu rahisi sana...ila kwa sasa ndo wanaona ugumu wake...sema wanakomaza tu vichwa.
Baraka ziwe kwako piahahahaaaaa mkuu hii comment nimeipenda,ubarikiwe.
Vipi alivyotelewa Gaddafi ilitulia?Us wako sahihi,watu wanapigana miaka 6 yote,wananchi wanateseka,tatizo hapo ni rais,Asad,apigwe atolewe mambo yatulie,utawala mwingine uwekwe.vita ya 3 ya dunia hakuna na russia itakaa kimya haitafanya lolote lile
mkuu nimeweka link ya sputink hapo ina kama picha40 za uharibifu huo wa shambulio,Hivi unategemea Urusi akubali kuwa all the 59 Missiles zilitua kwenye hiyo Base? Ili yeye aonekane weak pamoja na defence system yake?
Ukiangalia hiyo video haioneshi cha maana
Na kama Urusi anajua hakuna kilichoathirika kwanini analalamika?
Kwanini aseme ataongeza defence
mkuu nimeweka link ya sputink hapo ina kama picha40 za uharibifu huo wa shambulio,Hivi unategemea Urusi akubali kuwa all the 59 Missiles zilitua kwenye hiyo Base? Ili yeye aonekane weak pamoja na defence system yake?
Ukiangalia hiyo video haioneshi cha maana
Na kama Urusi anajua hakuna kilichoathirika kwanini analalamika?
Kwanini aseme ataongeza defence
Trump endelea kuangusha makombora mpaka magaidi wateketee
Ukifikiria Assad haiwezekani kuwa ni yeye ametumia silaha za sumu. Hii vita alishaishinda, alishawaweka mfukoni ISIS/Al Qaeda(makundi yanayodhaminiwa na EU/NATO na US). Nimefuatilia propaganda ya nguvu inayofanywa na Media za West na ni wazi wameamua kuifufua vita hii ili wamtoe Assad.Ivi bado mnaamini assad ndiye aliyetumia zile silaha za sumu?? Hamuijui USA nyie hasa katika propaganda!!
Hakuna vita kati ya Russia na USA Russia atahangaika kuipa silaha Syrian army tu ila hatosubutu kuingia vita na usaItakua vita kati ya USA na Russia, sio vita ya dunia.
we jamaa umezidi ushabiki, Wasyria, Wairan wanasema hakun tena kambi ya jeshi wewe unasema makombora hayakuwa effectivemkuu nimeweka link ya sputink hapo ina kama picha40 za uharibifu huo wa shambulio,
runways inaonekana haikuwa damaged,pia kwa nje sehemu ya wazi kabisa zilikuwepo ndege tano za syria,hazikupata hata mkwaruzo,sasa jiulize Tomahawk 50 zinaweza kufanya damage ndogo kiasi kile?,
pia asubuhi sana nilisoma mahali kuna mabaki ya Tomahawk yameonekana kule Latakia,
hiyo maana yake hizi silaha sio presion kama wanavyodai