mkuu zote zipo,yaani S-400 na S-300,Mkuu, Russia hawajapeleka S400 walipeleka S300 hata hivyo ziko kwenye kambi za kirusi ambazo wanaopereti warusi, haziko kwenye kambi za wasiria, huo mfumo uliwekwa kwa ajili ya warusi pindi ikitokea kitisho cha mashambulizi kwenye maeneo ya warusi nasio maeneo ya wasiria.
Maswali mazuri!Nina maswali najiuliza pasipo majibu
1.Wanasema urusi wametarifiwa,so wanatarifiwa ili iweje??
2.Na hapo U.S.A ana attack serikali ya syria au ana attack vikundi vya waasi
3.Kama.ana attack serikali ya syria kwa nini aitarifu serikali ya syria??? hv unaweza ukapigana na adui alafu ukamtaarifu?
Wewe hujui kitu. When the "Big guys" do their business no, no and nobody can obstruct.
Taarifa ni kwamba Putin alijulishwa before the Tomahawk launch.."just information" sio kuomba ruhusa. Na wlimjulisha aondoe vijidege vyake.
Taarifa ni kwamba air defense system (possibly Russian s300/400) su 22 and many other more.
Kwa taarifa yako, hata wakati Sadam Hussein anatwangwa Russians had their plane and interests there..Just got informed!
Assad siku zake za utawala zinahesabika
Kuna SFA (Syrian Free Army) iliyoanzishwa miaka ya 2000 ili kupambana na regime ya Bashir al Assad kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu na ahadi nyingi zilizotolewa tokea enzi za utawala wa baba yake Assad (tokea mwaka 1971 familia ya Assad inatawala Syria).Mie nawaonea huruma wale vijana wadogo wanaoenda vitani wanapoteza maisha kwa ujinga tu, yeye Trump kama kidume kwa nini asiende yeye?? Anajua yeye wala ndugu zake hawamo kwenye list ya wanajeshi wanaoenda vitani, ila na nyie Syria ndio nini kuchinja wenzenu kama kuku?
Maswali mazuri!
Jibu ni kuwa marekani anafahamu kuwa Warusi wameweka mitambo yao ya kulinda anga la syria nchini syria inaitwa surface to air anti-missile system & anti-aircraft system!
Sasa ili ushambulie anga la syria lazima uanze kuangamiza mfumo huu wa ulinzi wa warusi vinginevyo makombora yote yataangamizwa jangwani!
Swali linakuja je marekani ana ubavu wa kushambulia mfumo wa ulinzi wa urusi ili afanikishe mipango yake? Jibu ni kuwa hawezi maana akifanya hivyo urusi naye atajibu mapigo na vita vikubwa vitalipuka!
Ndiyo maana walitoa taarifa ili urusi wakubali kutokutumia mfumo wao wa ulinzi dhidi ya makombora ya cruise missiles ya marekani! Urusi walikubali lakini kwa masharti ambayo hayajawekwa wazi. Nadhani sharti moja wapo ni kuwa wasirudie tena! Na hutawaona wakirudia!
Wewe huwajui warusi!Swali la Kwanza
Urusi alipewa taarifa ili aondoe Personels wake na videge vyake
Swali la pili
Serikali ya Syria ndio ililipua mabomu huko Idbil hadi hao watu wakafa
Swali la Tatu
Syria hakupewa taarifa na USA
Hata kama angepewa bado asingejua wapi anapigwa kwani Pentagon walikuwa na uwezo wakudondosha hata Pallace zao ila wakaona watoe warning
amna kitu ww israel kila cku anajipigia tuu sasa marekan nao wanalipua viwanja.......hio mkifumo ya ulinz infny kaz gan?Wewe huwajui warusi!
Marekani anajua kuwa urusi ana mfumo wa kulinda anga la syria! Ili ushambulie syria ni lazima ushambulie kwanza mfumo huu wa warusi! Na ukiushambulia maana yake ni kuwa umeishambulia urusi! Hakuna kichaa anayeweza kuchezea moto huo!
Ilibidi watoe taarifa ili urusi wakubali kutokuutumia huu mfumo na pia urusi ielekeze targets ambazo ina maslahi nazo ili zisishambuliwe!
Us wako sahihi,watu wanapigana miaka 6 yote,wananchi wanateseka,tatizo hapo ni rais,Asad,apigwe atolewe mambo yatulie,utawala mwingine uwekwe.vita ya 3 ya dunia hakuna na russia itakaa kimya haitafanya lolote lile
Wewe huwajui warusi!
Marekani anajua kuwa urusi ana mfumo wa kulinda anga la syria! Ili ushambulie syria ni lazima ushambulie kwanza mfumo huu wa warusi! Na ukiushambulia maana yake ni kuwa umeishambulia urusi! Hakuna kichaa anayeweza kuchezea moto huo!
Ilibidi watoe taarifa ili urusi wakubali kutokuutumia huu mfumo na pia urusi ielekeze targets ambazo ina maslahi nazo ili zisishambuliwe!
True Russia cannot retaliate militarily for the same reasons America did not retaliate militarily when Russia attacked and took Crimea!Russia won't retaliate militarily, nazaidi US pamoja na allies wanaendelea kufanya vita inakuwa ngumu
Unavyowachamba sasa km unawaona vile[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie nawaonea huruma wale vijana wadogo wanaoenda vitani wanapoteza maisha kwa ujinga tu, yeye Trump kama kidume kwa nini asiende yeye?? Anajua yeye wala ndugu zake hawamo kwenye list ya wanajeshi wanaoenda vitani, ila na nyie Syria ndio nini kuchinja wenzenu kama kuku?
ikigawanyikA ndo itakua mwanzo wa mwsho wa uwepo wa russia syria...maana wasuni na wakurdi wameegamia US na ile jamiiya assad ya washia wa alawite pamoja christians ambao huunga mkono assad/russia ni wachache mnoNjia pekee ambayo naona Russia wanaweza kutoka kwenye Hii vita wamefaidika ni kushinikiza kugawanywa kwa Syria, vinginevyo waendelee kulindia Syria isiyo kuwa na Mbele au Nyuma.
Unavyowachamba sasa km unawaona vile[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kijana zile betri zilicnzia tena au leo kuna excuse gan?Unavyowachamba sasa km unawaona vile[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si kweli! Hiyo ni taarifa rasmi ili urusi isitumie air defense system yake iliyopo syria! Bila hivyo SAA hii tungekuwa tunaongea mengine! Maana ingebidi waanze kuteketeza kwanza huu mfumo wa warusi ndipo wapate mwanya wa kushambulia targets zingine! Hakuna kichaa marekani anayeweza kuthubutu hilo!Marekani hakumtaarifu Russia kama taarifa rasimi....bali ametoa taarifa kwa wote ili raia na watu wengine wajiweke mbali na maeneo hayo.....