Trump launches military strike against Syria

Trump launches military strike against Syria

Russia katulia
Maana hakutegemea kama haya yangetokea, hata Congress hawakujua wamemind sana
Critics wakubwa wa Trump kama McCain na Schumer wamemaifia kwa alichofanya maana ametuma ujumbe Russia na Kwa Assad
Kitakachotuata ipo siku NKorea atapewa kubwa kuliko hili

Leo ndio nimejua kuwa hawa Wamarekani huwa wanajua wapi pakupiga sema tu huwa hawataki kupiga

Watu bana mara ooooh Syria ana S400 leo haijadungua hata kombora moja
Leo nimeona Super Power maana yake nini
Urusi anapiga kelele tuuuuu kupitia RT yao
Ila Assad ashukuru mungu Hillary Clinton kakosa urais, maaaana angeupata pangekua hapatoshi.
 
Nilidhani kisasi kingeanzia kwa mwarabu mwenzao Assad?

Au kuuwa wenzake kwa kemikali nihalali?

Zile ni Propaganda tu Kama zile za kusema Saddam alikuwa na Silaha za Maangamizi mpaka Leo bado zinatafutwa Miaka zaid ya 10 Tangu Saddam anyongwe!

Chanzo cha Vita ya Syria ni Marekani na NATO kusambaza Silaha kwa Njia ya anga kwa Raia ili waasi Serikali na hizo Silaha zikaangukia kwny Mikono ya Wahuni wa IS!

Ili uelewe imagine Marekani isambaze Silaha kwa Njia ya Anga kwny Jiji la Dar Es salaam halafu ziangukie kwny Mikono ya Panya Road jee utaipenda Marekani hata Kama ulikuwa unaichukia CCM?
 
Hapo Urusi kaingizwa kidole kwenye jicho, anasubiriwa afanye yake ila ataishia kutoa matamko ya kulaani tu hamna lolote zaidi ya hapo.
Lakini kwa wadadisi wa mambo, Urusi imeanza kushuka kiuchumi kwa kasi na inahitaji vita vikubwa ili kunyanyuka. Hivyo naona wanaweza wakajitosa kwenye shughuli nzima.
Kwa hali ya uchumi wa Russia sasa hv sidhan km anahitaji vital yoyote ile. Huon anavyohangaika kurubuni watu huko Whitehouse ili aondolewe vikwazo alivyowekewa na Marekan.
 
Je, Russia wanatakaa kimya wakati rafiki yao anabamizwa? kama wataamua kurudisha mashambulizi je, ndiyo itakuwa hatua za mwanzo za vita kuu ya tatu duniani!? CNN wanadai kabla ya mashambulizi kuanza rasmi, Russia walijulishwa kuhusu mashambulizi hayo.
USA kafanya usanii tu kuwapa taarifa Urusi na wakawapa taarifa Syria na ndio maana no casualties(both human &equipment ) reported due to that attacks
 
Amemshindwa Kim in wa North Korea anaenda Syria!! Russia watajibu mapigo sio mida
 
Us wako sahihi,watu wanapigana miaka 6 yote,wananchi wanateseka,tatizo hapo ni rais,Asad,apigwe atolewe mambo yatulie,utawala mwingine uwekwe.vita ya 3 ya dunia hakuna na russia itakaa kimya haitafanya lolote lile
Historian hakuna nchi ya kiarabu ambayo mtawala wake kaondolewa kwa vita inatawalia kwa amani,hao marekani ndio wachufuzu wa dunia, Angalia Iraq,Libya,Afghanistan mapaka kesho mtutu unanuka, Waarabu ni lazima watawaliwe kwa mkono wa chuma
 
Na me nilishawahi kusema hum ndan kwamba sera ya mambo ya nje ya Marekan haijawahi badilika na km kubadilika so Leo wala kesho.
Kila kitu kishaandaliwa ni swala la mda tu.
_20170407_085441.JPG
_20170407_085458.JPG

Aljazeera wamemuumbua Trump.
Mwaka 2013 alimkosoa Obama kwenda Syria,
Leo 2017 anataka kwenda Syria
 
USA kafanya usanii tu kuwapa taarifa Urusi na wakawapa taarifa Syria na ndio maana no casualties(both human &equipment ) reported due to that attacks
USA kampa taarifa Urusi kwamba atashambulia Syria lakn hakumwambia atashambulia wapi. Na alimpa taarifa ili kuzuia kushambulia ngome ambazo kuna wanajeshi au assets za Mrusi.
Na sio kwamba alimpa taarifa Russia peke yake, pia na nchi nyingine(hazikutajwa)
83d83009388a8e35e9fd557573f39e91.jpg
source:Sputnik
 
Hapo Urusi kaingizwa kidole kwenye jicho, anasubiriwa afanye yake ila ataishia kutoa matamko ya kulaani tu hamna lolote zaidi ya hapo.
Lakini kwa wadadisi wa mambo, Urusi imeanza kushuka kiuchumi kwa kasi na inahitaji vita vikubwa ili kunyanyuka. Hivyo naona wanaweza wakajitosa kwenye shughuli nzima.
Hakuna kitu kama Hicho.... Katika historia ya Dunia
 
Iraq haijatulia,walisema wanamtoa Saddam wataweka mtu mwingine,Afghanstan haijatulia,Libya haijatulia hadi wanajuta.
Mbona Syria ilikua imetulia nani aloanzisha vurugu Pale?
Nazani jibu litakuwa moja tuu...
 
Us wako sahihi,watu wanapigana miaka 6 yote,wananchi wanateseka,tatizo hapo ni rais,Asad,apigwe atolewe mambo yatulie,utawala mwingine uwekwe.vita ya 3 ya dunia hakuna na russia itakaa kimya haitafanya lolote lile
Mbona somalia ni zaidi ya miaka kumi mbona hawaendi? Think big
 
USA kampa taarifa Urusi kwamba atashambulia Syria lakn hakumwambia atashambulia wapi. Na alimpa taarifa ili kuzuia kushambulia ngome ambazo kuna wanajeshi au assets za Mrusi.
Na sio kwamba alimpa taarifa Russia peke yake, pia na nchi nyingine(hazikutajwa)
83d83009388a8e35e9fd557573f39e91.jpg
source:Sputnik
Kipi nikichokiandika hukukielewa???
 
Waarabu wakiamua kuwasaka Wamarekani na kulipa Kisasi watu povu linawatoka!

UZuri wa Waarabu kwny Suala la kulipa kisasi huwa hawasahau!

Kama ni halali kuua Raia wa Nchi zingine kwa kisingizio cha kutoa Tawala wasizozikubali pia haiwi Haramu Kuua Wamarekani wanaochagua Viongozi Wauaji.

Kama Wamarekani wanachagua Kwa hiyari Yao wapi wakaue, wapi wakapore na lini wakafanye hivyo kwa kutumia Nguvu walizopewa kisheria na Wamarekani kwa Njia ya kura Basi si HARAMU kuua Wamarekani wanaoruhusu Serikali Yao kuua Watu wa Nchi zingine kwa kadri wapendavyo
Huna akili ... Unaleta hoja za kipuuzi.

Wewe unaona ni sawa raia wasio na hatia kuwa "poisoned na gas?"

Unaleta stori za uarabu. Mbona hao waarabu wameua waarabu wenzao wengi zaidi kuliko wamarekani?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom