Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

6 Pack

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
3,653
Reaction score
8,000
Niaje waungwana

Raisi wa Marekani ndugu Donald Trump ameitishia NATO na EUROPE kwamba hivi punde wajiandae kukikabidhi kisiwa hicho katika mikono yake, kabla hawajakumbana na vifo vya kujitakia kutoka kwenye jeshi la Marekani.

Hapo chini ni vitisho vya raisi Trump huku Iran ikiahidi kusimama na NATO 👇

Trump: If NATO and EUROPE can't stop Iranian missiles strikes on Israel, we will take Greenland from EUROPE.

Iran: If EUROPE and NATO can't protect Greenland, just call us. We will protect very well Greenland from Donald Trump.

Baada ya majibu hayo ya Iran, Trump ameonekana kunywea 🤣🤣🤣
 
Vita hivi vinavituko Sana.

Iran ishindwe kulllinda viongozi wake wanaouliwa kama mende ati alinde nchi nyingine😂😂😂
Jasiri huwa hajifichi kwenye banker mkuu. Bali hum face adui yake face to face ili kumuonesha uwezo wake na nguvu zake.

Kama Yesu angejificha kwenye banker kuwahofia maadui zake, au kifo chake kama anavyofanya Netanyahu na wahuni wenzake 🤣🤣🤣 leo hii ni nani angesema amepata ukombozi kupitia kifo chake!
 
Jasiri huwa hajifichi kwenye banker. Bali hum face adui yake face to face ili kumuonesha uwezo wake na nguvu zake.

Kama Yesu angejificha kwenye banker kama Netanyahu na wahuni wenzie 🤣🤣🤣 leo hii ni nani angesema amepata ukombozi kupitia kifo chake!

😂😂😂😂

Wewe wasapuze hao. Mwisho wa vita tutakuja kudai hesabu na mshindi
 
😂😂😂😂

Wewe wasapuze hao. Mwisho wa vita tutakuja kudai hesabu na mshindi
Style ya Iran inaitwa kata mti panda miti 🤣🤣🤣

Yani unamuondoa babu alieruhusu missiles za kilometres 2000 tu, sasa kaingia kijana anaeruhusu kilometres 4000, ambayo inaweza fika Rome, Paris, Berlin nk.

Na jana Muingereza katestiwa kisiwa chake, kuoneshwa kwamba yeye ni kenge tu aliejificha kichwa majini huku kiwili wili kipo nje 🤣🤣🤣

Huyu kijana inaonekana huko mbeleni atawaambia wataalam wake waongeze adjust ya kufika eneo lolote la Marekani. Kisha atawaambia waendelee na mpango wa kutengeneza nyuklia bila kujali vikwazo wala vitisho vya UN.
 
Niaje waungwana

Raisi wa Marekani ndugu Donald Trump ameitishia NATO na EUROPE kwamba hivi punde wajiandae kukikabidhi kisiwa hicho katika mikono yake, kabla hawajakumbana na vifo vya kujitakia kutoka kwenye jeshi la Marekani.

Hapo chini na vitisho vya raisi Trump huku Iran ikiahidi kusimama na NATO 👇

Trump: If NATO and EUROPE can't stop Iran, we will take Greenland from EUROPE.

Iran: If EUROPE and NATO can't protect Greenland, just call us. We will protect very well Greenland from Donald Trump.

Baada ya majibu hayo ya Iran, Trump ameonekana kunywea 🤣🤣🤣
Daa Dunia inakimbia sana Iranian inasimama na NATO 🤠🤠🤠🤠
 
Vita hivi vinavituko Sana.

Iran ishindwe kulllinda viongozi wake wanaouliwa kama mende ati alinde nchi nyingine😂😂😂

Unajua Marais wangapi wa USA wameuwawa wakiwa madarakani ndani ya USA iyo iyo!!??

matendo ya kigaidi kuwauwa viongozi ufanywa na waoga zaifu zaifu kijesh!!
Umeona Russia imeuwa kiongozi yoyote wa kisiasa. ??

Ukiwa na nguvu!!

huna sababu ya kumtafuta mwasiasa🤠

MAJESHya Russia yapo ndani ya Ukraine hakuna wa kuyatoa!!

nguvuuu ni vitendo sio kubahatisha!!!

Sio kuvizia Wanasiasa eti pengine Kunatokea Mapinduzi🤠🤠

Akili za zaifu
 
Unajua Marais wangapi wa USA wameuwawa wakiwa madarakani ndani ya USA iyo iyo!!??

matendo ya kigaidi kuwauwa viongozi ufanywa na waoga zaifu zaifu kijesh!!
Umeona Russia imeuwa kiongozi yoyote wa kisiasa. ??

Ukiwa na nguvu!!

huna sababu ya kumtafuta mwasiasa🤠

MAJESHya Russia yapo ndani ya Ukraine hakuna wa kuyatoa!!

nguvuuu ni vitendo sio kubahatisha!!!

Sio kuvizia Wanasiasa eti pengine Kunatokea Mapinduzi🤠🤠

Akili za zaifu
Umeandika comment yako vizuri sana 🤝
 
Unajua Marais wangapi wa USA wameuwawa wakiwa madarakani ndani ya USA iyo iyo!!??

matendo ya kigaidi kuwauwa viongozi ufanywa na waoga zaifu zaifu kijesh!!
Umeona Russia imeuwa kiongozi yoyote wa kisiasa. ??

Ukiwa na nguvu!!

huna sababu ya kumtafuta mwasiasa🤠

MAJESHya Russia yapo ndani ya Ukraine hakuna wa kuyatoa!!

nguvuuu ni vitendo sio kubahatisha!!!

Sio kuvizia Wanasiasa eti pengine Kunatokea Mapinduzi🤠🤠

Akili za zaifu
Zaifu❌
Dhaifu✅
 
NATO
Imeonyesha ukomavu Jo Biden atakua anachekea Chopin
Ma doctor na ma professor wa nchi za NATO safari hii wamegoma kushikiwa akili na mcheza mieleka anaeitwa Trump 🤣🤣
80fea6e0-031216-WWE-McMahohn-and-Trump-PI-CH.jpg
 
Niaje waungwana

Raisi wa Marekani ndugu Donald Trump ameitishia NATO na EUROPE kwamba hivi punde wajiandae kukikabidhi kisiwa hicho katika mikono yake, kabla hawajakumbana na vifo vya kujitakia kutoka kwenye jeshi la Marekani.

Hapo chini na vitisho vya raisi Trump huku Iran ikiahidi kusimama na NATO 👇

Trump: If NATO and EUROPE can't stop Iran, we will take Greenland from EUROPE.

Iran: If EUROPE and NATO can't protect Greenland, just call us. We will protect very well Greenland from Donald Trump.

Baada ya majibu hayo ya Iran, Trump ameonekana kunywea 🤣🤣🤣
Chanzo cha habari hii ni wapi?
 
😂😂😂😂

Wewe wasapuze hao. Mwisho wa vita tutakuja kudai hesabu na mshindi
Mkuu ushindi wa vita huwa hauwamliwi hivyo bali huwa una amliwa na kutimiza malengo yaliyo kupeleka vitani.
Mfano Marekani aliuwa watu zaidi ya milion1 nchi Vietnam na Marekani ilipoteza watu elfu 50 tu lakini historia imeandikwa kuwa Marekani alishindwa vita dhidi ya Vietnam.
 
Back
Top Bottom