Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,054
- 79,398
Comment yako imetawaliwa na chuki ya wazi kabisa dhidi ya Iran,sometimes ushabiki wa kijinga unaweza kumfanya mtu kuonekana kua ni mjinga,
Umeongelea kulinda viongozi,Iran wameongelea kulinda nchi,
Hao US nao wangekua wanajilinda kwa asilimia mia wangepigwa na lile tukio la 9/11 ?
Unajua ni marais wangapi wa US waliuawa? Unajua kua Trump alikosa kuuawa na risasa ikampata kwenye sikio?
Kuhusu chuki hilo nakuachia wewe.
Sina maslahi yoyote kwa pande zote mbili. Iwe ni Marekani au Iran. So sioni sababu ya kumpenda au kumchukia yeyote.
Kwangu apigwe yoyote ashinde yoyote haina maana yoyote kwangu. Zaidi nikitaka nitengeneze maslahi nitatamani vita iendelee ili wanyoroshane vizuri mpaka waheshimiane.
Kuhusu Iran kulinda Nchi nyingine hizo ni porojo.
Baada ya hii vita utajua kwamba Iran kama anashindwa kujilinda mwenyewe atawezaje kulinda nchi nyingine.
Kuhusu kuuliwa kwa Marais wa Marekani nilisikia na kusoma soma lakini haijawahi kutokea mataifa hayo Safu za viongozi wa juu karibia wote kufyekwa kama Kuku na ndani ya Siku 14 tuu.
Kijeshi na kiintelejensia ukiona nchi viongozi wa juu karibu robo tatu inawezekana kuuliwa ndani ya Siku Saba za mwanzo WA vita ujue hapo hiyo nchi haina ulinzi wowote.