Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,054
- 79,398
Mkuu ushindi wa vita huwa hauwamliwi hivyo bali huwa una amliwa na kutimiza malengo yaliyo kupeleka vitani.
Mfano Marekani aliuwa watu zaidi ya milion1 nchi Vietnam na Marekani ilipoteza watu elfu 50 tu lakini historia imeandikwa kuwa Marekani alishindwa vita dhidi ya Vietnam.
Upo Sawa lakini kumbuka hapa Tunazungumzia Marekani akiwa na mazayuni