TroubleShoot your TunnelGuru

TroubleShoot your TunnelGuru

Majanga haya, jamaa wamezitia kufuri zile free site zote nne hata ile adimu nayo wameizoa kwa maana kwamba hata yale madude yetu ya hewani hayapigi mzigo tena!! Mzee wa Davinoo DEVUQUARTER-DEVUKOTA fanya utupe ile trick yako tushauwawa wanao
Sidhani kama tutashindwa kuingia JF ingawa ni kweli jamaa wa mtandao wa siku zote wamezuia free site zao.

Tulisongeshe kwa:-

1.Vizima zima

2.Bus la kijani

3.Kabaang

4.Kubundi

5.Kwa waliobahatika. *147*00# 500Mb free@ 48hr

KILA LA KHERI KRAPKA DAVINOOOO!!
 
Last edited by a moderator:
bila hela

Sasa hawa opera huwa wana proxy zao nahisi DAVO wanaruhusu zifungue free site zao sawa na Airtel India free site kuna kipindi walikuwa wanazifungua kwa proxy za opera....kama unazijua hizo proxy za opera naziomba nikazijaribu kwa NMD VPN under TCP protocol
 
Sasa hawa opera huwa wana proxy zao nahisi DAVO wanaruhusu zifungue free site zao sawa na Airtel India free site kuna kipindi walikuwa wanazifungua kwa proxy za opera....kama unazijua hizo proxy za opera naziomba nikazijaribu kwa NMD VPN under TCP protocol
Yani i dont really knw, why lakini 0 haijapigwa lock
 
wale watu wangu kitu chenu hichooo- kama hujaelewa basi ipotezee tu maana haikuhusu

Sitaki Maswali wala PM

JF upload imenigomea so wahitaji pakueni hapo chini


http://ge.tt/api/1/files/5ujvFzB1/0/blob?download


hotpot1.JPG



hotspot2.JPG
 
kitu yako DEVO iko SLOW ajabu sijawai Onaa sijui niliko Hamna 3G ya huakika au sababu nimeanza nayo usiku au la
weka speed kwako tuone basi au ka vipi nna mm niamie HSS Elite

HSS tulikuwa tunafungulia boksi ila kwa sasa sijui kama bado inaleta mambo maana kitambo sana!!
Kwa Davo labda upake umatemate f'lan hivi ila sina hakika sana.

Wale wabeba boksi njia rahisi kuburuza ni kutumia Ultra surf ambayo ina proxy kwa ndani so unaendelea kula maisha na utube na download kwa idm mpaka bando liexpire.

Download link chukua hapa

http://ultrasurf.us/download/u.zip

** Angalizo:- Kama haupo expert na haya mambo usitumie hii Ultra Surf maana wakati mwingine inachange local host na kukufanya usifungue bila hiyo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mm hili basi sitoliweza kabisa kitu kobe ajabu ndo ukijiloga ukaweka pd proxy kitu inakuwa xtremely kobe...mm nilishazoea 1MB/s maximum speed afu nina Lecture video za 300GB inabidi nizidownload na ndo kwanza niko 40GB sababu hii DAVO ilikuwa HSPA+ Kwangu lkn hii mpya bila bila
 
tumieni off road mode ya opera next ni nzuri pia huna haja ya vpn wala proxy. kama una opera ya zamani eka opera turbo. kwa speed ile ya kobe ukitaka kustream bila kunata nata jw player inahusika hivyo inabidi utafute proxy inayokubali jwplayer hapa itabidi utumie zacebook.com. kudownload streaming video kwa proxy tumia maxthon. maisha yaende hivi kwa boksi
 
wale wakongwe wa VPN na free internet, ishu kama hizi zilikuazinatokeaga zaman (mabus kuzuia abiria)?
 
wale wakongwe wa VPN na free internet, ishu kama hizi zilikuazinatokeaga zaman (mabus kuzuia abiria)?

Hiyo ajari officially ya nne....ya kwanza walianza basi la kijani CDMA likaanza kuzima zima enzi zile mm nilikuwa bado under 18 na nilikuwa siamini fulani kama its possible enzi hizo OpenVPN,PD Proxy na Cproxy zinatumika.....Ajari ya pili ila hii ilikuwa ya m.fb kwa basi la Jekundu kwa bwana Paje ktk Http ya TunnelGuru lkn yeye alishtukia kosa na akasema watu sote tulikuwa tume install Connectify dispatch ambayo iko incompatible na tunneling tools lkn inshort m.fb ilikuwa imeacha kufanya kazi na baada ya siku akarudi na m.twitter na tukakunjuka nayo...baada ya siku chache Pd proxy ikaingia kwenye gemu na mm hapa nilishaanza kuuza Your Freedom kwa Basi la kijani GSM na Jekundu lkn hii YF bei ziko juu nikashift too TG kwa mabasi mawili na Pd at the same time na bus moja....ukisoma thread yangu huko jukwaa la matangazo na screenshots utaelewa...ktk ya Game around June Basi la kijani GSN likazima na wengi hawakustukia(ndo maana leo hii huwez fanya nalo HTTP tunneling tena) maana DAVO ndo ilikuwa habari ya mjini....hii ya juzi 6/12/2013 ajari ya tatu na hii ya 31/12/2013 ajari ya nne

Lkn pia mambo yetu yale/proxy zimekaa kwenye gemu kibishi story kamili wanaielewa C6,Chief Mkwawa na Shaffin Simbamwene
 
hapa only wanaosurvive wale wa kitambo kabla ya 2013 au wale maguru ktk network.. kwisha habar yao spy hapa mwendo wa kula kimyakimya hehe still mabass yote yko hewan.
 
wale wakongwe wa VPN na free internet, ishu kama hizi zilikuazinatokeaga zaman (mabus kuzuia abiria)?

wakuu hii ki2 ili idumu lazma tuwe waaminifu wenyew kwa wenyew na kuzid kutumia maneno magumu ili vilaza wasifaham kinachongelewa,, da ile ilikuwa hatar hadi watoto walomaliza four 4 nao ni ma reseler wa vpn,, safi sana only strong survive.

kuna mkuu namkubali nafkir ni c++ aliwah kusema unaweza conect kwa 0 sh vp ushindwe ku access free net?
 
Back
Top Bottom