Ajari mpaka huku "no connection for given port ..........."
Sent from my GT-I9505 using Tapatalk
yeah, naona ngoma inazingua, daah kama kushnei, itakua si mchezo
njunwa wamavoko umejaribu labda kuongea na admin wa TG kama, ishu ipo kwao au vp?, ila kwakwel, wametupania, halafu kuna watu naona wanaongelea kuwa na port za pdproxy na nn, any news on that?mwaka jana tulikuwa tunakula na zantel lkn naona naona nao
mapigo hayajibu
Tigo inaunga vizuri lkn haupati data hata punje
smile bila bila
airtel bila bila
voda bila bila
Tutakimbilia wapi....kubypass vifurushi vya brackberry nimeambulia kupoteza hela zangu mitandao yote
HAWA JAMAA WAMETUPANIA INABIDI KUTAFUTA BASI JINGINE KABISA
njunwa wamavoko umejaribu labda kuongea na admin wa TG kama, ishu ipo kwao au vp?, ila kwakwel, wametupania, halafu kuna watu naona wanaongelea kuwa na port za pdproxy na nn, any news on that?
Naona zile free site zao wamezifunga mana kwa 0 hazifunguki
i tried kufungua 0 kwa kutumia opera mobile emulator, na inafunguka bila neno, ila tu haitak kuconnect thru hiyo kwa kutumia TG
kweli?
unamaanisha 0.f***** au nn?
yeah, 0.f, kwa mobile emulator inafunguka kama kawaida