TroubleShoot your TunnelGuru

TroubleShoot your TunnelGuru

Jaman si kila mtu abaki aki enjoy anachofanya hakuna aja ya kubishana .....
 
Ndo hivo lkn info wakizipata wale wenye midomo ya kupayukA lazima ile kwetu...vinginevyo hapa ni kila mtu kivyake hapa
 
Ndo hivo lkn info wakizipata wale wenye midomo ya kupayukA lazima ile kwetu...vinginevyo hapa ni kila mtu kivyake hapa
Reseller pia mnachangia kuharibu maana vita yenu kugombea wateja inawafanya muwaingize nyoka kundini.
Nashauri bora mridhike na wateja wachache waaminifu kuliko kuwa na mamia ya watu.
 
pia reputation ya mtu (mteja) izingatiwe jamani.
 
Finally nmepata udp open 3 za basi la mchuz mix nikitumia BT5r3 sahv full mdebwedo pdproxy forever
 
Finally nmepata udp open 3 za basi la mchuz mix nikitumia BT5r3 sahv full mdebwedo pdproxy forever

kaka kula kimyakimya na washkaj zako wa2 wa3.. ukiweka hadharan hapa utatuharibia na sie.. always nasema mabasi yote yanapiga mzigo kam kawa.
 
Back
Top Bottom