TroubleShoot your TunnelGuru

TroubleShoot your TunnelGuru

Hahahaha, dah, kidume nasubiria kubundi, si mchezo, miss TG sana tu

Hivi tunashindwa ku-bypass hii captive portal ya basi fulani?
au Ping yake ni ndogo maana bila salio inakudirect kwenye hiyo portal yao lkn kufunguka ni binde
Hata ukiwa na Bundle bado kui-load ni shida lkn bado tunayo way kuwa bypass ni ss kuumiza vichwa
 
Hivi tunashindwa ku-bypass hii captive portal ya basi fulani?
au Ping yake ni ndogo maana bila salio inakudirect kwenye hiyo portal yao lkn kufunguka ni binde
Hata ukiwa na Bundle bado kui-load ni shida lkn bado tunayo way kuwa bypass ni ss kuumiza vichwa
Mkuu, nipe info PM nione kama kuna anythng i can do
 
DNS tunneling inahusika hapo
Poa mkuu, i`ll start experimenting, ila kama DAVO, gateway & DNS yao wamebana mno, ukitia bundle unapo connect inalogin kwenye Port #22 SSH, then unaweza tumia, maana ina open up ports nyingine mfano 80 & 443, ila ukiconnect kwa 0sh, SSH port haifunguki, na ukiscan inaoneka hyo tu,

Nimescan kwa kila combination niwezavyo kwa kutumia Nmap kwenye Kali-Linux, ila ndo hvyo ports nyingi ziko filtered
 
Poa mkuu, i`ll start experimenting, ila kama DAVO, gateway & DNS yao wamebana mno, ukitia bundle unapo connect inalogin kwenye Port #22 SSH, then unaweza tumia, maana ina open up ports nyingine mfano 80 & 443, ila ukiconnect kwa 0sh, SSH port haifunguki, na ukiscan inaoneka hyo tu,

Nimescan kwa kila combination niwezavyo kwa kutumia Nmap kwenye Kali-Linux, ila ndo hvyo ports nyingi ziko filtered

Mkuu hii NMAP unatumia software sio?....Mm inanishinda kuitumia Can I get some guides?
Vipi hawa Basi la Kijani GSM umejaribu?
 
nah, sijawajaribu, nmap its command-line based ngoja kuna kitabu ninacho nitakutumia kesho nikipata chance

hawa DAVO nasikia from Jamaa angu kuwa wameajiri kampuni mpya ya IT experts hivo wanashindana na ss wa mtahaani
Anyways wanaonekana kushinda tayari
 
hawa DAVO nasikia from Jamaa angu kuwa wameajiri kampuni mpya ya IT experts hivo wanashindana na ss wa mtahaani
Anyways wanaonekana kushinda tayari
Dah, hapo mbona pagumu, ila fresh tu hata CIA wenyewe na protection zao huwa wanalizwa sometimes, mbona kitajulikna tu
and i`m pretty sure now JF inakua monitored mbaya, bila shaka wameinflitrate humu ndan
 
Humu jf kulichafukaga tangu zaman asee 2kahamiaga fb 2kafungua ka grup cha siri kisa mambo hyhya
 
hawa DAVO nasikia from Jamaa angu kuwa wameajiri kampuni mpya ya IT experts hivo wanashindana na ss wa mtahaani
Anyways wanaonekana kushinda tayari

Pamoja na kuwepo maexpert huko Davo pia member wa humu JF wanachangia kuzibwa matundu kwa tabia yao ya ndimi mbili.

Mjue siyo member wote ni wenzetu bali kuna wengine wapo humu kwa maslahi ya mitandao au kutokana na roho zao za korosho kama huyu Sadru wamekuwa wakitoboa siri zinazofanyika humu mjengoni so tuwe huku store au chemba bado taarifa zitafika tu kwa ISP.

Humu jf kulichafukaga tangu zaman asee 2kahamiaga fb 2kafungua ka grup cha siri kisa mambo hyhya
Kweli kabisa kaka hata hawa mareseller pia wanachangia kuharibu hizi mambo, daily utakuta wanashindana kusaka shilingi kwa njia yoyote ile, matangazo kila sehemu iwe kwenye blogs zao,fB,twitter na popote pale kiasi kwamba hawangalii nani wamuuzie voucher muhimu kwao mpunga tu!!

Maeneo ya kitaa na vyuo wamejaa watumiaji wa hizi net za kuchakachua, humu JF tumekuwa na mashindano ya kuweka screen shoot jinsi tunavyokamua bandwith kinyama, kila anayepata download speed ya 800KBps au 1MBps lazima aweke bandiko kuwakoga wengine.

Matokeo ya yote watu wasioelewa vizuri wanafika hadi pale mlimani City kuomba wawekewe net ya bure ya PD proxy hivyo trick ilikuwa ikininginia tu kwenye kamba nyembamba.

PD limebuma port mpya zika ibua mzozo kati ya munjy1 na njunwa wamavoko pamoja na kaka mkubwa C6 kujaribu kuondoa dhahama zile port mpya nazo hazikuchukua mda zikawa chali.

Watu tukahamia kwenye Plan B ya http tunnel si ndiyo mbwembwe za mareseller zikaanza tena hasa TG waliposupport VPN via http mzee mzima expert wa Guru Paje kakoroma hapa tukamuona mzushi tu http haiwezi kufa bwana.......ghafla bin vuuu nayo ikawa chali.
Nawasikitikia chief-mkwawa C6 na watumiaji wengine wa proxy maana nao wamesombwa na hichi kimbembe.

Nashauri kama tundu la kuponea litapatikana mchujo ufanyike kwa member kipaumbele kiwe kwa wanatech wenye michango ya maana humu, reseller waache mbwebwe pia wasiuze voucher kwa kila mtu Admin kule TG na PD wasiweke bandiko lolote lenye kutaja mtandao tunaotumia nasema hivi sababu hata sasa ukigoogle "tunnel guru setting for tanzania" data zinakuja bila chenga wakati sisi tunatumia mafumbo humu kule kila kitu kipo uchi.
 
Last edited by a moderator:
Majembe kama kuna maufundi ya unlimited ya bis kwenye kipakato tujuzane.
Nasisitiza ni Bis data plan siyo ile ya Pay per use

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kweli kaka yani kipindi kile naingia fb unakutana na tangazo moja kwa moja eti Tanzania users are seen online Kwa hilo basi tena Tangazo lenyewe la kulipiwa kabisa
 
Hi! Tech guys. 0 is now available again. I have tried it with firefox and internet explorer. May be you try again to check how to!
 
Back
Top Bottom